Kwanini watu hupenda kufua nguo za ndani bafuni?

Kwanini watu hupenda kufua nguo za ndani bafuni?

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Hongereni kwa kazi!

Naomba kujua kwanini watu wengi wanapenda sana kufua nguo zao za ndani bafuni? Tena wengi hufua kwa kutumia sabuni ya kuogea ambayo kimsingi imetengenezwa kwa ajili ya kuogea tu?

Wengi wao ni wanawake huwa najiuliza kwanini wasitoke nje ya bafu na kufua kwa kujinafasi na kuanika kwenye kamba na zikauka ipasavyo?

Au ndio maana wanawake wengi ni waathrika wa ugonjwa wa UTI kwa kuwa huvaa chupi zenye unyevu unyevu hasa kwa wale wanaoanikia bafuni au vyumbani kwenye mwanga hafifu?

Onyo:Huu ni mjadala huru,usije na povu wala kuuliza picha!!
 
Mkuu umeshaiita nguo ya ndani sasa ifuliwe na nguo za nje?
Tatizo huwa wanakaa sana bafuni,kama ujuavyo nyumba za kupanga au nyumba za familia lakini zina wakazi wengi huoni shida hapo kuchelewesha wengine.
Kwani ukifua nje nani atashangaa chupi? Au chupi zao huwa zimegina au zina matundu?
 
Hiyo ndo asili ya mtanzania tena mm naona ni sahihi sababu wakianika nje kila mtu atapata fikra tofauti.
 
Mkuu umeshaiita nguo ya ndani sasa ifuliwe na nguo za nje?

Wekeni nje bana wengine tukiona hizo vicuniko vya asali tunapata Raha Sana....Kuna mmoja nilichukua pili pili nikasiliba pale inapokaa papuchi sikuona Tena zikiwa zinaanikwa nje hahahah
 
Ushamba tu..nothing else..fungus wanaendelea kupeta tu
 
Wakifulia nje mnasema wanawatamanisha
 
Ni vema zikianikwa nje juani, ila kuzifua bafuni sio mbaya
 
Back
Top Bottom