Kwanini watu hupenda kufua nguo za ndani bafuni?

Kwanini watu hupenda kufua nguo za ndani bafuni?

Sehemu za siri " chupi zinafunika sehemu za siri hivyo kufulia bafuni unaendeleza usiri wake na kuanika ni siri yako .
 
Haha duh sikumbuki lini mara ya mwisho nilifua chupi muda wa kuoga
 
Matatizo mengine yakujitakia tuu,..kisa cha kupata fungus wakati jua hatulipii vat..ishhh!!!!
Nyie ndo wadada wachafu wakulunda lunda michupi mlobridia ndani mwisho wa siku mnatoa nje na kufua kama nguo zingin mbon mi sijawahi pata fangas na kila nikioga nafua chupi yangu wanawake tuna asil ya unyevu unyevu uko chini na ukikojoa tu wakat wa kuvaa chupi mikojo inatabia ya kubaki kwenye chupi sio kila mtu ana tabia ya kujisafisha akimalza kukojoa kuna mdada nilikuwa naishi nae room moja uko skonga alikuw na tabia iyo kasha alokuw akihifadhi chupi zake lilikuw linapitish hewa sikuweza ishi nae niliham room kwa harufu za chupi huo ni uchafu na ni hatari kwa afya athar huja taratibu uwezi Zion siku moja!

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndo wadada wachafu wakulunda lunda michupi mlobridia ndani mwisho wa siku mnatoa nje na kufua kama nguo zingin mbon mi sijawahi pata fangas na kila nikioga nafua chupi yangu wanawake tuna asil ya unyevu unyevu uko chini na ukikojoa tu wakat wa kuvaa chupi mikojo inatabia ya kubaki kwenye chupi sio kila mtu ana tabia ya kujisafisha akimalza kukojoa kuna mdada nilikuwa naishi nae room moja uko skonga alikuw na tabia iyo kasha alokuw akihifadhi chupi zake lilikuw linapitish hewa sikuweza ishi nae niliham room kwa harufu za chupi huo ni uchafu na ni hatari kwa afya athar huja taratibu uwezi Zion siku moja!

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
naona umepanic dada,kwahiyo unatufokea tunaoanika chupi zetu nje juani??maana sijaona hapo uhusiano wa uchafu na kuanika chupi nje juani,kwani ukioga ukafua chupi yako na kwenda kuanika nje kuna ubaya????????aiseee pambana tuu na hali yako naona una stress mpaka hujui unachoandika,.
 
naona umepanic dada,kwahiyo unatufokea tunaoanika chupi zetu nje juani??maana sijaona hapo uhusiano wa uchafu na kuanika chupi nje juani,kwani ukioga ukafua chupi yako na kwenda kuanika nje kuna ubaya????????aiseee pambana tuu na hali yako naona una stress mpaka hujui unachoandika,.
Hii ni kwa wale warunda chupi hadi mwezi uishe ndo akusanye afue ila kama unavaa unafua unaanika zako juan keep it up der good job sijapanic

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
 
Chupi ni Uchi wa mtu
Huwezi kuanika nje hata iweje japo wanasema unaweza kuweka chini juu ukaweka mtandio bado ni ngumu aisee,labda msala wa kijijini maana haunaga bati unaanika kwenye nyasi huko hapiti mtu kabisa
 
Back
Top Bottom