Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Tatizo huwa wanakaa sana bafuni,kama ujuavyo nyumba za kupanga au nyumba za familia lakini zina wakazi wengi huoni shida hapo kuchelewesha wengine.Mkuu umeshaiita nguo ya ndani sasa ifuliwe na nguo za nje?
Hilo swali uliza wewe au anzushia Uzi wewe.uwe na maswali fikirishi mbona watu wengine wanaogea sabuni za kufuria
Hahahahahahaha!Mkuu umeshaiita nguo ya ndani sasa ifuliwe na nguo za nje?
Aiseeeee.... shikamooo!!!Matatizo mengine yakujitakia tuu,..kisa cha kupata fungus wakati jua hatulipii vat..ishhh!!!!
Mkuu umeshaiita nguo ya ndani sasa ifuliwe na nguo za nje?
Mkuu umeshaiita nguo ya ndani sasa ifuliwe na nguo za nje?
Matatizo mengine yakujitakia tuu,..kisa cha kupata fungus wakati jua hatulipii vat..ishhh!!!!
Yaani nafua na kuanika moja moja kwa utuvuu...full kunoga kwenye kamba[emoji14][emoji14]Safi kabisa...wee Anika nje mwaya...putate Raha ya kuona vifuniko vya asali hahaha
Hivo ndio inavyotakiwa...Hawa wakuanika bafuni ni kwamba zimetoboka hahahahaYaani nafua na kuanika moja moja kwa utuvuu...full kunoga kwenye kamba[emoji14][emoji14]