Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Tatizo ni wivu tu mkuu hakuna kingineKatika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Nadhani ni mitazamo tu inakinzana; mtu typical mtaani kipaumbele chake kimawazo ni pesa, chakula, mavazi na mbususu wakati IQ kubwa inawaza extra mile; itahangaisha ubongo kujua mambo magumu magumu kama vile maana ya maisha yenyewe na sio kuishi tu na kadhalika na kadhalikaKatika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Hivi wewe una IQ kubwa au ndogoKatika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Sifahamu kwa kweli kwasababu mpaka kipimo kitumikeHivi wewe una IQ kubwa au ndogo
Kipimo kipiSifahamu kwa kweli kwasababu mpaka kipimo kitumike
Maana hata kwenye maisha Yetu Kuna watu Wana mawazo mazuri ila huishia kukataliwa na kundi la watuTatizo ni wivu tu mkuu hakuna kingine
Kamwe usidharau nguvu ya watu wajinga wanapokuwa pamoja katika makundi makubwa ni hatari sana." — George Carlinogopa kundi la wajinga
Katika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Sometimes ni wapuuzi. Kama wale wa kusema Mungu hayupo tuwaangalie tu?Katika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Wechsler Intelligence Scale for children (Kipimo Cha watoto)Kipimo kipi
Acha uchokoziTupe mfano wa mtu mwenye IQ kubwa kwanza tujue umo au haumo?
Kuna concept zinatolewa na hawa watu hupingwa sana na watu wasio na uelewaSometimes ni wapuuzi. Kama wale wa kusema Mungu hayupo tuwaangalie tu?
Terent Tao jamaa mmoja mmarekani pia wakina Boby FilsherTupe mfano wa mtu mwenye IQ kubwa kwanza tujue umo au haumo?
Kuna tabia hawa watu huwa wanakuwa nazo kwenye jamii zetu kwahiyo wengi hujulikana mfano ukitaka kujua mtoto mwenye IQ kubwa hupenda kuuliza maswali mengi sana, hupenda kujitenga pia wanapenda sana debate na kudadisi mamboKumbe sijajua kuwa nina IQ kubwa
Kama serikali ya mtaa wetu,mwenyekiti na viongozi wengine wanakula hela za michango mtaani lakini jifanye kuhoji kwenye mkutano kama utaungwa mkono na wanakijiji ambao wengi ni wajinga,kila mtu hataki kuonekana mbaya.Kamwe usidharau nguvu ya watu wajinga wanapokuwa pamoja katika makundi makubwa ni hatari sana." — George Carlin