SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Humu nachukiwa sana hawanaga amani mpaka wanagroup lao lakuniteta , nje ya hapa nachukiwa sana sana .Kuna tabia hawa watu huwa wanakuwa nazo kwenye jamii zetu kwahiyo wengi hujulikana mfano ukitaka kujua mtoto mwenye IQ kubwa hupenda kuuliza maswali mengi sana, hupenda kujitenga pia wanapenda sana debate na kudadisi mambo
WAnasema najiona sana najua sijui hili lile hata kazini nikamua kujiajiri sasa