SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
145 to 159: Highly gifteOk wewe IQ yako kama ngapi hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
145 to 159: Highly gifteOk wewe IQ yako kama ngapi hivi
😂Ulishaenda kwenye vipimo au tabia zako zinaendana na watu wenye IQ kubwa?Like me
hao unaowasema wana IQ kubwa uliwapima vipi?Sifahamu kwa kweli kwasababu mpaka kipimo kitumike
Huna lolote watu wenye High IQ hatupendi kujionyesha wala kujitajaDongo lingine hilo. Una jipya?
Tabia zangu😂Ulishaenda kwenye vipimo au tabia zako zinaendana na watu wenye IQ kubwa?
C unaona ushajionyesha rangi yako, Nani mwenye IQ kubwa hapo Mwenye 130+ kama mm au #bigot kama ww?😂😂😂😂😂😂😂😂Mnasimamia misimamo yenu na kukamilisha mambo tu
Ndio unatabia gani na gani tu kurecognizeTabia zangu
Kwa kweli we ni genius145 to 159: Highly gifte
Haifahimiki ndugu huku online hatupimi IQC unaona ushajionyesha rangi yako, Nani mwenye IQ kubwa hapo Mwenye 130+ kama mm au #bigot kama ww?😂😂😂😂😂
Dah! nyingi sanaNdio unatabia gani na gani tu kurecognize
Zitaje tukujueDah! nyingi sana
Umeishiwa ww sasa.Huna lolote watu wenye High IQ hatupendi kujionyesha wala kujitaja
Hao uliowataja hamna mwenye IQ kubwa hata mmoja, ila ni waongeaji wazuri , kwa resources zilizopo kwenye nchi zao na nafasi walizonazo kama wangekua na IQ kubwa basi watu wangekua wanakula matunda yaliyopandwa na wao, enzi za nyerere ilikua ukinunua hata baiskeli unachunguzwa hakua na vision nzuriTuanze na mugabe, lucha,mwalimu julius nyerere,sweety candy,nelson mandela,jomo kenyatta,mwinyi wa zamani,mkapa ,huyu kijana wa sasa anavaa kijeshi,kagame,museven,nawapigania uhuru wote .
Funga Uzi basi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haifahimiki ndugu huku online hatupimi IQ
🤣🤣🤣🤣 Acha watu wapimane IQFunga Uzi basi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Napenda kutembea kwa miguu,napenda mziki na football,ninasoma siku za mitihani tu! na nnafaulu, hivi hapa kesho asubuhi nina mtihani na sisomi lkn ntaenda kuunyoosha kama pasi ya Phillips.Zitaje tukujue
Nenda kalime!!!Tafuta kazi masikini ww
Kwa mtazamo wako mdau ila si kwa mambo na rate ya IQ iliopo kwa hawa waungwanaHao uliowataja hamna mwenye IQ kubwa hata mmoja, ila ni waongeaji wazuri , kwa resources zilizopo kwenye nchi zao na nafasi walizonazo kama wangekua na IQ kubwa basi watu wangekua wanakula matunda yaliyopandwa na wao, enzi za nyerere ilikua ukinunua hata baiskeli unachunguzwa hakua na vision nzuri
Kagame na museven umeona,wakibinafsisha vitu vyao sisi hadi gesi tumewapa wazungu, hadi bandari waarabu wanayo ila hao hawatakiHao uliowataja hamna mwenye IQ kubwa hata mmoja, ila ni waongeaji wazuri , kwa resources zilizopo kwenye nchi zao na nafasi walizonazo kama wangekua na IQ kubwa basi watu wangekua wanakula matunda yaliyopandwa na wao, enzi za nyerere ilikua ukinunua hata baiskeli unachunguzwa hakua na vision nzuri
South Africa ip io?South africa
South africa lazima nijeee tu...
Kufaulu darasani sio kuwa na IQ kubwa fuatilia kufaulu ni jitihada binafsi, mbinu na kuwekeza muda kwenye kujifunzaNapenda kutembea kwa miguu,napenda mziki na football,ninasoma siku za mitihani tu! na nnafaulu, hivi hapa kesho asubuhi nina mtihani na sisomi lkn ntaenda kuunyoosha kama pasi ya Phillips.
Na tabia nyinginezo nyingi za kigenius
Nenda kalime!!!