much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Basi bado huyo ana averege IQ ndo maana kaishia kufanya mambo ya kawaidaKIFO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi bado huyo ana averege IQ ndo maana kaishia kufanya mambo ya kawaidaKIFO
Basi utumie akili kwenye mambo yako unajua Kuna watu huwa wanalaumu wengine Kwa kufeli kwao kama mtu anajiona ana akili anafeli analaumu watu waliomzungukaMaumivu ya kutumia akili katika ulimwengu wa wajinga ni makali sana mkuu.
Mkuu usikimbilie kuwa wa kwanza kujibu, soma elewa Kisha jibu kwa usahihi.Basi utumie akili kwenye mambo yako unajua Kuna watu huwa wanalaumu wengine Kwa kufeli kwao kama mtu anajiona ana akili anafeli analaumu watu waliomzunguka
Hapana wapi nmesema umemlaumu mtu au wewe ndo mwenye IQ kubwa.Mkuu usikimbilie kuwa wa kwanza kujibu, soma elewa Kisha jibu kwa usahihi.
Hapo umeingizia feelings zako na sio ajabu hata haujaelewa nimeandika nini.
Sijui nimemlaumu nani hapa kwa mambo yangu! 🤔
I.Q kubwa wengi wao ni introverts. Kuna classmate wangu wa A level yupo hivyo..Katika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Also Dunning-Kruger effect ipo kwao sanaI.Q kubwa wengi wao ni introverts. Kuna classmate wangu wa A level yupo hivyo..
Mungu yupo, aidha ni nature au ana umbo la kukaa kwenye KITI cha enzi, ila all in all, MUNGU YUPOSometimes ni wapuuzi. Kama wale wa kusema Mungu hayupo tuwaangalie tu?
Tena wanaweza kusema kuwa unamuonea wivu ndugu Mwenyekiti. Hovyo sana hao watu.Kama serikali ya mtaa wetu,mwenyekiti na viongozi wengine wanakula hela za michango mtaani lakini jifanye kuhoji kwenye mkutano kama utaungwa mkono na wanakijiji ambao wengi ni wajinga,kila mtu hataki kuonekana mbaya.
YeahMungu yupo, aidha ni nature au ana umbo la kukaa kwenye KITI cha enzi, ila all in all, MUNGU YUPO
Inferiority Complex leading to Extremely Feeling Jealous !Katika jamii, watu wenye IQ kubwa mara nyingi hukutana na upinzani kutoka kwa wengine. Je, hii inasababishwa na wivu, hofu, kutokueleweka kwa mawazo yao, au ni changamoto ya kijamii?
Je, tatizo liko kwa watu wenye IQ kubwa au kwa jamii inayo
wapinga? Karibu mdau wa JF Tupate maoni yako!
Na chawa wa wazungu kagame ana IQ kubwa😆😆😆😆Nani kakwambia hao uliowataja wana IQ kubwa? Nchi za wenzetu wenye IQ kubwa wanatengeneza roketi na mabomu ya nyuklia, sisi ni wanasiasa?