much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kwaiyo hiyo IQ kubwa nayo inasubiri ajira?Ajira ajira ajira
Anaweza akawa fundi na maisha yakaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo hiyo IQ kubwa nayo inasubiri ajira?Ajira ajira ajira
Anaweza akawa fundi na maisha yakaenda
Hahahaha! Hapo ndipo huwa nashangaa! Unaona kabisa kiongozi anacheza faulo, ukihoji anaacha kukuchukiaKama serikali ya mtaa wetu,mwenyekiti na viongozi wengine wanakula hela za michango mtaani lakini jifanye kuhoji kwenye mkutano kama utaungwa mkono na wanakijiji ambao wengi ni wajinga,kila mtu hataki kuonekana mbaya.
Asilimia kubwa ndio, wakigundulika wanachukuliwa na wenye nchi zinazothamini baraka hizo (brain drain)Kwaiyo hiyo IQ kubwa nayo inasubiri ajira?
Lakini hao wanauchukuliwa ni waliofanya vitu vikaonekana ndo maana wakaonwaAsilimia kubwa ndio, wakigundulika wanachukuliwa na wenye nchi zinazothamini baraka hizo (brain drain)
Iq kubwa sio kipimo broo ni day to day interaction ikiwa na wapumbavu ww ni iq ndogo sijui mtt amenda kuchezwa umo humo sijui ninunue nn jirani anione umo mtt sijui amefungwa vidude vya kumlinda umo sijui ww ndio bwana uwekew maji chooni umoSifahamu kwa kweli kwasababu mpaka kipimo kitumike
Kuna ile mwamba kabla hajawa raisi wa Bangladesh huyu. Ni father of interpreneurship kama mzee wa vyuo vya economy utamjua hao ndio wenye IQ kubwa wanatoa jamii eneo moja kihali to another usije kusema nyerere ambae alikua anangalia tv za wakoloni than anakuja kuhutubiaPhilip Emeagwali (Nigeria) – Alisaidia katika kuunda technology ya supercomputers lakini mara nyingi mawazo yake yalipuuzwa mwanzoni na watu.
Njoo kwa Tshilidzi Marwala (South Africa) – Mtaalamu wa AI ambaye mara nyingi mawazo yake yalionekana kuwa ya ajabu kabla ya technology ya AI kuenea naye alipingwa sana.
Nikola Tesla mwenyewe concept zake zilipungwa na watu kama Thomas Edison na watu wengine wengi tu.
Ni viongozi wangapi wenye IQ na maono hupingwa ni wengi hasa hapa Africa
Of course, na sio wote wenye bahati vipaji vyao au akili zao kujidhihirisha; utakuta Kuna mtu kazaliwa dabaga huko kwenye mashamba ya mpunga na IQ inachaji na akaishia kuwa fundi wa mashine za mpunga na mlevi wa kijijiLakini hao wanauchukuliwa ni waliofanya vitu vikaonekana ndo maana wakaonwa
Kwanini awe mlevi?Of course, na sio wote wenye bahati vipaji vyao au akili zao kujidhihirisha; utakuta Kuna mtu kazaliwa dabaga huko kwenye mashamba ya mpunga na IQ inachaji na akaishia kuwa fundi wa mashine za mpunga na mlevi wa kijiji
Kwanini usiwe mlevi kama umezaliwa na IQ ya 120 ukiwa umezungukwa na watu wenye IQ za 80? 😂😂😂Kwanini awe mlevi?
Mbona hakuna uhusiano si atumie hizo IQ kufanya mambo yake?Kwanini usiwe mlevi kama umezaliwa na IQ ya 120 ukiwa umezungukwa na watu wenye IQ za 80? 😂😂😂
Si anatengeneza mashine za kukobolea mahindi na maisha yakaenda😂Mbona hakuna uhusiano si atumie hizo IQ kufanya mambo yake?
Hakuna mtu mwenye IQ kubwa anaye weza kusema Mungu hayupo wala mwanasayansi mwenye IQ kubwa awezi kusema hakuna munguSometimes ni wapuuzi. Kama wale wa kusema Mungu hayupo tuwaangalie tu?
Albert Einstein sijui si anasema mungu hayupo?Hakuna mtu mwenye IQ kubwa anaye weza kusema Mungu hayupo wala mwanasayansi mwenye IQ kubwa awezi kusema hakuna mungu
Baada ya hapoSi anatengeneza mashine za kukobolea mahindi na maisha yakaenda😂
Huyo hali sema mungu yupo tena alisema kwa kadili anayo vumbua sayansi zaidi ndiyo anavyo zidi kumjua mungu ....huyo mwanasayansi uliye mtaja yeye aligundua kuwa ulimwengu ume programiwa je na nani ? Ndiye huyo munguAlbert Einstein sijui si anasema mungu hayupo?
Ok nasikia akamwandikia baruaHuyo hali sema mungu yupo tena alisema kwa kadili anayo vumbua sayansi zaidi ndiyo anavyo zidi kumjua mungu ....huyo mwanasayansi uliye mtaja yeye aligundua kuwa ulimwengu ume programiwa je na nani ? Ndiye huyo mungu
Hiyo ya barua sijui ....hila kuna shida ya watu kutambua hii siri 👉 KUNA DARAJA 3 ...utakuta watu wanarumba kuhusu mungu wengine wanasema mungu yupo na wengine wanasema mungu hayupo wale wanao sema mungu yupo wanawaona wale wanao pinga ni wapumbavu na kinyume chake ni hivyo hivyo hapa utaona daraja 2...wanao sema hakuna mungu na wanaosema yupo mungu ...hilq kuna daraja la 3 ambalo ni wachache tu walio jaliwa ndiyo ulifikia la ufahamu sasa nitafafanua hayo madaraja yote ma 3...Ok nasikia akamwandikia barua
KIFOBaada ya hapo