Kwanini Watu ' Maarufu ' wakiandika na ' Kuzindua ' tu Vitabu vyao vya Maisha yao, muda mfupi tu huwa Wanakufa?

Kwanini Watu ' Maarufu ' wakiandika na ' Kuzindua ' tu Vitabu vyao vya Maisha yao, muda mfupi tu huwa Wanakufa?

Ningekuwa siyo ' Maarufu ' ungepoteza muda wako Kunisoma hapa na pengine hata kila Siku tu ' Kuchungulia ' nimendika au nimechangia nini JF?


Kama huo ndio umaarufu unaouzungumzia basi kila mwana jf ni maarufu,
 
Ivi mfano unaandika kitabu hafu Kuna manzi ulimkula chochoroni au porini. Iyo stori nayo unaweza iweka katika stori ya maisha yako

Nani umeona ameandika hivyo? Na nani ' Kakudanganya ' kuwa Wote waliondika ' Vitabu ' vyao hawakuwa na ' Makandokando ' yao ya Kibinafsi?
 
Come with facts! Njoo na data na siyo hisia zako potofu. Toa orodha ya watu maarufu angalau kumi waliondika wakafa na mimi nitakuja na orodha watu maarufu elfu moja ambao waliandika na wako hai!

Naomba kujua Kwanza Wewe ni Jini au ni Binadamu Mwenzangu?
 
ngadafi my green book.hahaha na mgabi kitabu chake dont kill mosquito on your balls.hahaha
 
Mbona Lemutuz bado yupo na alizindua kitabu

Nimeshajibu hili rejea ' posts ' zangu nilizoandika utaona. Nimeshachoka kulijibia hili kila mara tafadhali. Muwe mnasoma ' posts ' ili mjiridhishe pia.
 
Sio watu wote maarufu walifanikiwa kuandika vitabu vyao, wengine waliandikiwa.
Mfano hai ni Nabii Issa Bin Mariam/Bwana wetu Yesu kristo wa Nazareth/mfalme wa wafalme, na hata aya na hadithi nyingi za Mtume S. A. W ziliandikwa na watu wengine.
Hata hivyo hivi unavyoona ni namna ya binadamu wa kawaida wanafanza ili ama kujisahihisha au kueleza yale ambayo wameweza kuyafanza ili wengine waendelee na kusahihisha yasio faa.
 
Kwa upande wako upo sahihi.lakini kwangu sio sahihi.labda ungekuwa na hata sample ya watu mashuhuri kumi walioandika vitabu halafu wakaaga atleast ningekuelewa lakini mbali na hapo hizo ni hisia zako tu binafsi.
 
Ukitoa Mkapa na Mengi, unaweza kutaja mifano mingine miwili ya waliokufa muda mfupi tu baada ya kuzindua vitabu vyao?
 
Kutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi ' sana kuwepo hapa duniani. Na ukiona umezindua ' Hajakuchukua ' jua Wewe hukuwa na la maana sana katika Jamii yako husika na ameona hata ' akikuchukua ' kwenda Mbinguni hutokuwa na Faida pia huko.

Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.
Kumbe ndio sababu kitabu cha Mhe. Cleopa Msuya hakitoki? Msininukuu 🤣 🤣 🤣
 
Jamani naomba kufahamu hicho kitabu cha Nzee Nkapa kinapatikana wapi?
Bei gani?
Je aliweza kutoa nakala za Kiswahili kama ambavyo tulivyoshauri?

Je kina ukubwa gani?
 
Kutokana na ' Uchunguzi ' wangu mdogo tu nilioufanya ndani na nje ya Tanzania nimegundua ya kwamba kumbe huku Kukimbilia kuandika Historia yako ya Maisha na kuyaweka katika Kitabu na ' Kukizindua ' kwa ' Mikogo ' yote huwa hakupokelewi vyema na ' Israeli Mtoa Roho ' ambapo huwa ' hakukawizi ' sana kuwepo hapa duniani. Na ukiona umezindua ' Hajakuchukua ' jua Wewe hukuwa na la maana sana katika Jamii yako husika na ameona hata ' akikuchukua ' kwenda Mbinguni hutokuwa na Faida pia huko.

Kutokana na Kuligundua hili na nikiwa bado ninayapenda Maisha yangu ' nimeahirisha ' rasmi nami Kuandika na kutaka Kukizindua Kitabu changu.
Kwahiyo na wewe unajiita mtu "Maarufu" kama nani vile?

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
Hoja yako Ni nyepesi Sana ,umedhihirishia JF kua uwezo wako wa kuchanganua Mambo Ni mdogo sana
 
The King of all Bongo social media jitu lishibalo Power Mwanakulya mobimba Le Mutuz nadhani alishaandika na kuzindua kitabu kinachoelezea maisha yake zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Mbona yupo tu anadunda?
Si ndo iyo kasema jua hakuwa na la maana sana ktk jamii yake ata akimchukua mapema atamuweka wapi sasa
 
Back
Top Bottom