Kwanini watu wa Dar huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?

Kwanini watu wa Dar huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?

Kwanini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?

Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.

Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar

Melo yupo Dar,

Vyuo vikuu Bora vipo Dar

Flying over za maana zipo Dar

Uswahilini kupo Dar

Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar
Asee😅😅
Kimsingi Tanzania ni Dar so lazima utake kuijua Tanzania, The rest regions ni kuta za mipaka ya Tanzania(Dar)
Huwezi kua mtu muhim nchini na hauishi Dar😅
 
Kwanini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?

Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.

Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar

Melo yupo Dar,

Vyuo vikuu Bora vipo Dar

Flying over za maana zipo Dar

Uswahilini kupo Dar

Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar
Dar ndio sebule ya Tanzania..mikoani ni vyumbani. Mambo yote yako sebuleni. Tv pia hiwekwa sebuleni
 
Ka sa
nini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?

Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.

Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar

Melo yupo Dar,

Vyuo vikuu Bora vipo Dar

Flying over za maana zipo Dar

Uswahilini kupo Dar

Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar
Kwa sababu mkoani hakuna kinachopatikana dar
 
Back
Top Bottom