Mimi ni Msukuma wa Ntuzu braza.wewe ni wa kigoma au ni msukuma? Dar yenyewe kwanza ni mkoani, makao makuu ni Dodoma.
Asee😅😅Kwanini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?
Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.
Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar
Melo yupo Dar,
Vyuo vikuu Bora vipo Dar
Flying over za maana zipo Dar
Uswahilini kupo Dar
Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar
Dar ndio sebule ya Tanzania..mikoani ni vyumbani. Mambo yote yako sebuleni. Tv pia hiwekwa sebuleniKwanini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?
Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.
Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar
Melo yupo Dar,
Vyuo vikuu Bora vipo Dar
Flying over za maana zipo Dar
Uswahilini kupo Dar
Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar
Kwa sababu mkoani hakuna kinachopatikana darnini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani?
Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu.
Maadimin wa JF Wapo Dar,
ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar
Melo yupo Dar,
Vyuo vikuu Bora vipo Dar
Flying over za maana zipo Dar
Uswahilini kupo Dar
Pesa ipo Dar, umaskini upo Dar