Kwanini watu wa Dar mnakaa mnatusimanga watu wa mikoani?

Ndo akili zao, wakishakuwa na hvyo vitu ndo wameshamaliza. Hapo utamwambia nn kuhusu dsm.
Wengine unakuta hawana nauli za kurudi makwao wengine wanakula miguu ya kuku kama mboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…