Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
niko huku dar lakin kinachoniacha mdomo waz ni kwamba mkiwa mnapiga story na watu wa dar
Labda kiswahili au mwonekano utakuta wanakuuliza wewe jamaa mwenyeji wa wapi UKIWAJIBU TU KUWQ NATOKEA KANDA YA ZIWA wana ogopa kinoma na kuanza kunyali vibaya wanakua wanaogopa na kuanza kuongea saut ya upole kinoma
Sasa kwanini wanatuogopa sana hawa watu aisee
LONDON BABY
niko huku dar lakin kinachoniacha mdomo waz ni kwamba mkiwa mnapiga story na watu wa dar
Labda kiswahili au mwonekano utakuta wanakuuliza wewe jamaa mwenyeji wa wapi UKIWAJIBU TU KUWQ NATOKEA KANDA YA ZIWA wana ogopa kinoma na kuanza kunyali vibaya wanakua wanaogopa na kuanza kuongea saut ya upole kinoma
Sasa kwanini wanatuogopa sana hawa watu aisee
LONDON BABY