dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Babu, Hao waliochoka ni maingizo mapya kutoka huko mikoaniWatu wa Dar wamenyauka kutokana na ugumu wa maisha wengi huonekana ni wazee. Babu ni neno linalowafaa kabisa. Natania hiyo ni swagg tu mkuu. Mbeya watu huitana mjomba
Oya babu vipiDar mapunga ni wengi,Kuna Moja ilizuka kuitana babi, bobo, na mengine ya kipunga kama hayo.Atleast Kuna Muda waliitana "bro"
Ni msimu wa 'babu'; kuna wakati walisema, "mwana"...!!!Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kichaa wangu, mwanangu, mkuu, kiongozi, mwamba, mshua, babuUsijali Babu, Arusha sasa watakuita : Niambie kichaa wangu. Maneno ya heshima hayo.
Chali yanguKichaa wangu, mwanangu, mkuu, kiongozi, mwamba, mshua, babu
Pole "babu"Nimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akinimbia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijaka sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa sasa niko Mabibo safarini.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hujambo " kichaa wangu" 😂Babu huna baya,, usikwazike kwa vitu vidogo vidogo