Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kawaida sana hio
Wenyewe wanapendaDar kila mtu ana hasira, anaamka saa kumi na moja asubuhi anarudi nyumbani saa 4. Anatoka kama mwizi anarudi nyumbani kama kibaka.
Sijui watu wanawezaje kuishi dar
Oooh kaa totoNimefika sehemu nasubiria daladala kwenda mabibo nashanaga naitwa "Babu vipi", Mabibo hiyo, alisikikaa konda mmoja akiniambia hivyo. Moyoni nikajisemeha wenda nimekuwa babu nini au haya mapigo yangu ya kimavazi naonekana kibabu mimi, nikakausha.
Sijakaa sawa kondakta huyo huyo akachukuwa abira sehemu nikasikia akisema babu kamata chuma twenda Mabibo-Ilala Boma.
Nikafika kwa mwenyeji wangu akanisalimia babu vipi?"
Kwa kifupi sipendi Hili neno" babu "mm
Kwa sasa niko Mabibo safarini.
😂😂😂😂😂Hatawezan na watu wa chuga maan kam babu limemuumiza je akiambiwa kichaaUsijali Babu, Arusha sasa watakuita: Niambie kichaa wangu. Maneno ya heshima hayo.
ChalianguKichaa wangu, mwanangu, mkuu, kiongozi, mwamba, mshua, babu
HuweI niita kichaa nikuache salma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatawezan na watu wa chuga maan kam babu limemuumiza je akiambiwa kichaa
MnamaKichaa wangu, mwanangu, mkuu, kiongozi, mwamba, mshua, babu
Punguza jazba mkuu sio kila kitu unachukulia serious kumbuka kuna utani pia