nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Habarini,
Hiki kitendo cha watu kuweka hela zao benki pasipo kuzitoa kwa muda mrefu halafu benki wanakuwa wanazikata kwa kasi ya 4G wakati benki wanazikopesha kwa watu wenginebkwa riba siyo sawa kabisa ni wizi.
Benki wakate pale tu mtu anapotoa pesa zake lakini mtu asipotoa pesa benki zikakaa kwa muda mrefu basi watoe faida kwa hiyo hela siyo mtu anaweka hela bila kuzitoa benki wanakopesha hizo kwa riba harafu mwenye hela tena yeye ndiyo akatwe.
Benki zinajigamba zinapata faida sana sio kweli zinaibia watu sana hadi watu sasa wanafirisika, hivyo hili liangaliwe upya ikiwezekana kusiwe na makato yoyote kwa hela kukaa benki tu, wao wapate za riba wanazokopesha watu na za mtu anapotoa hela benki na faida itokanayo na riba wagawane benki na mwenye hela.
Hiki kitendo cha watu kuweka hela zao benki pasipo kuzitoa kwa muda mrefu halafu benki wanakuwa wanazikata kwa kasi ya 4G wakati benki wanazikopesha kwa watu wenginebkwa riba siyo sawa kabisa ni wizi.
Benki wakate pale tu mtu anapotoa pesa zake lakini mtu asipotoa pesa benki zikakaa kwa muda mrefu basi watoe faida kwa hiyo hela siyo mtu anaweka hela bila kuzitoa benki wanakopesha hizo kwa riba harafu mwenye hela tena yeye ndiyo akatwe.
Benki zinajigamba zinapata faida sana sio kweli zinaibia watu sana hadi watu sasa wanafirisika, hivyo hili liangaliwe upya ikiwezekana kusiwe na makato yoyote kwa hela kukaa benki tu, wao wapate za riba wanazokopesha watu na za mtu anapotoa hela benki na faida itokanayo na riba wagawane benki na mwenye hela.