Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Nadhani viongozi wa CCM wanapaswa kubadili msimamo wao. Kila ikitokea taarifa ya kutekwa au kuuwawa kwa asiye mwana CCM wao ukaa kimya. Kwa kuzingatia umuhimu wa haki ya kuishi niwaombe wabadili response strategy zao na wajitokeze mapema kulaani na kukemea.
Ukimya wa CCM umepelekea hata vyombo vya habari vya serikali na binafsi navyo kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa wakati. Ni kama vile vyombo vya habari vinasuburi kuambiwa nini wafanye.
Tusifungamano na vyama tukapoteza utu; tusikubali kufundishwa roho mbali na ukatili; viongozi wenye roho mbaya wasiwe misingi yetu ya maisha. Tujitenge na wale wanaotumiamisha kwamba wao ndio wenye kujua nani aishi nani afe.
Ukimya wa CCM umepelekea hata vyombo vya habari vya serikali na binafsi navyo kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa wakati. Ni kama vile vyombo vya habari vinasuburi kuambiwa nini wafanye.
Tusifungamano na vyama tukapoteza utu; tusikubali kufundishwa roho mbali na ukatili; viongozi wenye roho mbaya wasiwe misingi yetu ya maisha. Tujitenge na wale wanaotumiamisha kwamba wao ndio wenye kujua nani aishi nani afe.