Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

[emoji1787] fundi Maiko akitaka pesa nyingi za kupaua ni lazima apaue kwa mtindo huo. Hapo anakuingiza gharama kubwa za material na ufundi bila sababu
Huku akikupiga kamba kuwa huku ni kupau kifrench, kule kwa zamani kibritish. Na wewe kwa kubabaika na huto tuneno unaingia mkenge😀😀.
 
IMG_2408.jpg

Hawa ndio wale mapimbi wanaotujazia uzi humu kuwa wamepauwa kwa milioni 20[emoji28]
 
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Cathedral
 
Back
Top Bottom