Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

[emoji1787] fundi Maiko akitaka pesa nyingi za kupaua ni lazima apaue kwa mtindo huo. Hapo anakuingiza gharama kubwa za material na ufundi bila sababu
Huku akikupiga kamba kuwa huku ni kupau kifrench, kule kwa zamani kibritish. Na wewe kwa kubabaika na huto tuneno unaingia mkengeπŸ˜€πŸ˜€.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Cathedral
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…