Kwanini watu wanakumbushia?

Kwanini watu wanakumbushia?

jamani hii hatari eeh na hii Topic iko vere sensitive
Hivi mabinamu nyie mkikutana na ma -X wenu milioachana nao kwa uzuri mnaweza kukumbushia?
ZD ,Geoff ,Nguli ,Xpin Kaizer ..,camel MJ1 ,bht ,Pretty ,Lilly,Pearl ,na wewe Klorokwin dawa ya Maralia ...

lakini si vyema kukumbushia labda kama mko singo mnaweza kuurudisha uhusiano ili uchukue hatua mpya zaidi

Kwa upande wangu experience hii ya kukumbishia kwa mtizamo huu sina kwa kweli.....
Na sidhani kama ntakuja kuwa nayo...
Na sioni kama ni jmabo la busara.
 
Kwa upande wangu experience hii ya kukumbishia kwa mtizamo huu sina kwa kweli.....
Na sidhani kama ntakuja kuwa nayo...
Na sioni kama ni jmabo la busara.
kwa hiyo wewe huwa hukumbushii?
 
bado sijakutana nae kiukweli ..lakini kama wote mnajua kila mtu yuko katika mahusiano kwanini muendelee kuombana tundi...😀

FL,
Kama mliachana wakati pendo bado lote yaani ni majukumu tu yaliyowatenganisha Laaaa! Mkikutana kama sio kukumbatiana ni busu kwa kwenda mbela regardless you have a wife/husband. Mungu tusamehe kwa hili tunajua tunakukosea
 
jamani hii hatari eeh na hii Topic iko vere sensitive
Hivi mabinamu nyie mkikutana na ma -X wenu milioachana nao kwa uzuri mnaweza kukumbushia?
ZD ,Geoff ,Nguli ,Xpin Kaizer ..,camel MJ1 ,bht ,Pretty ,Lilly,Pearl ,na wewe Klorokwin dawa ya Maralia ...

lakini si vyema kukumbushia labda kama mko singo mnaweza kuurudisha uhusiano ili uchukue hatua mpya zaidi

Hapana! Mi leo ni siku yangu ya kuwaheshimu wanawake! Nasikitika sitachangia kitu hapa!
Leo Nimekaa kimaadili zaidi!
 
kukumbushia ni kama kusikiliza tena na tena mziki wa zamani unaokukuna

Ivi unajua wakati mwingine hata humohumo ndani ya ndoa huwa watu wanakumbushia?
 
Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.

what the hell is "mke used"...
 
Well.. sijaelewa kwanini watu baada ya kupoteana hasa walioachana katika mazingira mazuri hujikuta wanatumia kisingizio cha "kukumbushia". Cha kushangaza mmoja wao au wote wawili wanaweza kuwa wako na wapenzi wengine au na ndoa zao!

yanipita uwezo wangu wa kufikiri.. Sasa mtu akikataa kukumbushia ndio inakuwa urafiki wenye mashaka?

Mkuu Mwanakijiji hiyo kukumbushia ni "Cover" tu! Ni Uzinzi, ni Uasherati kama Uasherati mwingine na ni kukosa misimamo katika Mahusiano, halafu ukiiangalia imekaa ki mfumo dume zaidi! Jamani mtamaliza mabucha utamu wa Nyama ni Ule ule LoL!
 
Mkuu Mwanakijiji hiyo kukumbushia ni "Cover" tu! Ni Uzinzi, ni Uasherati kama Uasherati mwingine na ni kukosa misimamo katika Mahusiano, halafu ukiiangalia imekaa ki mfumo dume zaidi! Jamani mtamaliza mabucha utamu wa Nyama ni Ule ule LoL!


Ndege ya uchumi umesema sawa kabisa, sijui kwanini wanaume wanapenda kuomba access ya makumbusho wakati wanajua hakuna mapenzi tena - kama kweli ni wapenda mambo ya kale msingeachana, mi naona ni udhalilishaji wa wanawake tu, hebu jiulize mtu kama Geoff anaedumisha MILA atajikumbusha mara ngapi? halafu unamsikia Fidel anasema ukioa mke used, kumbuka hao ulio nao kabla kuoa watakuja kuwa wake wa wenzio na wewe ndio umewafanya wawe used (kulingana na mtizamo wako). Mimi kwangu hakuna kitu kinachoitwa makumbusho.

Annina
 
FL,
Kama mliachana wakati pendo bado lote yaani ni majukumu tu yaliyowatenganisha Laaaa! Mkikutana kama sio kukumbatiana ni busu kwa kwenda mbela regardless you have a wife/husband. Mungu tusamehe kwa hili tunajua tunakukosea

.........Yaani hapa umenena, kuna baadhi kweli waliachana kwa majukumu kuwatenganisha au umbali. Hawa utwakuta hata hawaachani hata kama watakuja kukutana uzeeni kukumbushia lazima.
Mie nina rafiki yangu aliacha na bf wake kwa umbali, yeye alikuwa ughaibuni na bf yupo hapa bongo,alikaa majuu zaidi ya miaka 6, baadaye akaamua kuolewa huko ughaibuni. Yule mdada kila akija bongo vacation anakumbushia na yule bf wake, na wakati huko ughaibuni ana mume wake tena mtanzania mwenzake.Mbaya zaidi na yule bf naye alikuwa na mke wake, hapo sasa kila mtu ana ndoa na bado wanakumbushiana.
 
Ili kuepuka kuvunjwa moyo na kuwa na amani moyoni na kichwani mwako ni kheri kutokuoa ama kutokuolewa. Ila ukioa au kuolewa basi ujue uwezekano wa kumegewa mwenzako ni mkubwa sana.

Ni kinyume na asili kwa binadamu kumega au kumegwa na mtu huyo huyo milele. Binadamu hatujaumbwa hivyo. Heck hata wanyama hawako hivyo.

Poleni mliooa na kuolewa. Kama hujamegwa au kumegewa basi ujue kunakuja.
 
Well.. sijaelewa kwanini watu baada ya kupoteana hasa walioachana katika mazingira mazuri hujikuta wanatumia kisingizio cha "kukumbushia". Cha kushangaza mmoja wao au wote wawili wanaweza kuwa wako na wapenzi wengine au na ndoa zao!

yanipita uwezo wangu wa kufikiri.. Sasa mtu akikataa kukumbushia ndio inakuwa urafiki wenye mashaka?
Shamba la kale rahisi kulilima tena.
 
Ili kuepuka kuvunjwa moyo na kuwa na amani moyoni na kichwani mwako ni kheri kutokuoa ama kutokuolewa. Ila ukioa au kuolewa basi ujue uwezekano wa kumegewa mwenzako ni mkubwa sana.

Ni kinyume na asili kwa binadamu kumega au kumegwa na mtu huyo huyo milele. Binadamu hatujaumbwa hivyo. Heck hata wanyama hawako hivyo.
oleni mliooa na kuolewa. Kama hujamegwa au kumegewa basi ujue kunakuja
P.
Du unatishia maisha ya wana ndoa wote waliopo hapa JF!.
 
Ili kuepuka kuvunjwa moyo na kuwa na amani moyoni na kichwani mwako ni kheri kutokuoa ama kutokuolewa. Ila ukioa au kuolewa basi ujue uwezekano wa kumegewa mwenzako ni mkubwa sana.

Ni kinyume na asili kwa binadamu kumega au kumegwa na mtu huyo huyo milele. Binadamu hatujaumbwa hivyo. Heck hata wanyama hawako hivyo.

Poleni mliooa na kuolewa. Kama hujamegwa au kumegewa basi ujue kunakuja.

na we unajua kukatisha watu tamaa bwana..!! sasa unataka watu wawe wanamegeana..au wanamegana tu! au kila mtu ale cha kwake?
 
na we unajua kukatisha watu tamaa bwana..!! sasa unataka watu wawe wanamegeana..au wanamegana tu! au kila mtu ale cha kwake?

Hivi kweli Mwanakijiji kama wewe umeoa unadhani uko peke yako tu? LMAO...sina nia ya kukunyima raha lakini kama ulikutana na shemeji ukubwani basi chances are una mwenzako au hata wenzako...lol....labda uwe unakuwaga naye muda wote 24/7. Lakini kama anafanya kazi au huwaga anasafiri mwenyewe au wewe huwaga unasafiri na kumwacha peke yake nyumbani kaa ukijua uwezekano wa kumegewa ni mkubwa sana.

Najua utakuwa unakijua kile kipindi cha kwenye TV cha Cheaters. Jaribu kukifuatilia (kama hukifuatilii tayari) na utanielewa nazungmzia nini. Inatisha.
 
Hivi kweli Mwanakijiji kama wewe umeoa unadhani uko peke yako tu? LMAO...sina nia ya kukunyima raha lakini kama ulikutana na shemeji ukubwani basi chances are una mwenzako au hata wenzako...lol....labda uwe unakuwaga naye muda wote 24/7. Lakini kama anafanya kazi au huwaga anasafiri mwenyewe au wewe huwaga unasafiri na kumwacha peke yake nyumbani kaa ukijua uwezekano wa kumegewa ni mkubwa sana.

Najua utakuwa unakijua kile kipindi cha kwenye TV cha Cheaters. Jaribu kukifuatilia (kama hukifuatilii tayari) na utanielewa nazungmzia nini. Inatisha.

well.. nimekiona kile kipindi; ningeendelea kukifuatilia nadhani ningejinywesha sumu. Very depressing indeed. Kwa hiyo inabidi tukubali kuwa as long as mambo yenu yako ok.. yawezekana unashare. Kuishi kwa mawazo namna hiyo kwa kweli ni mateso..
 
Back
Top Bottom