Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kwa nini Mungu anataka binadamu wamuabudu, wamuombe, wamtolee sadaka na kumshukuru?
Kama unaamini Mungu yupo ni dhambi usipomuabudu, usipomuomba au usipomshukuru? Yani kama unakubali yupo lakini haufanyi ibada au shukrani yoyote kwake wewe unahesabika ni muovu? Atakufanikishia mambo yako?
Kwa nini wengine anawaambia wasali mara tano kila siku na sio mara kumi, mara moja, kila saa n.k?? Kwa nini wengine wanajiamulia kumuomba wakati wa kuamka, wakati wa kulala na wakati wa baadhi ya matukio tu kama kabla ya kula, kabla ya safari, kabla ya mechi n.k??
Kama unaamini Mungu yupo ni dhambi usipomuabudu, usipomuomba au usipomshukuru? Yani kama unakubali yupo lakini haufanyi ibada au shukrani yoyote kwake wewe unahesabika ni muovu? Atakufanikishia mambo yako?
Kwa nini wengine anawaambia wasali mara tano kila siku na sio mara kumi, mara moja, kila saa n.k?? Kwa nini wengine wanajiamulia kumuomba wakati wa kuamka, wakati wa kulala na wakati wa baadhi ya matukio tu kama kabla ya kula, kabla ya safari, kabla ya mechi n.k??