bila shaka huwa unagonganishaga macho na hao madereva. Yani mnaangaliana,Na kuangalia wanawake nje hasa aone tutako kwa nyuma au aone una kasura ka kueleweka kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
He he he akiona tutako na tusura anasimama anakupa liftNa kuangalia wanawake nje hasa aone tutako kwa nyuma au aone una kasura ka kueleweka kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napendaga tu kuangalia wanaoendesha magari mazuri. Sasa kuna siku kimbelembele changu hiki wakati navuka barabara kukawa na Prado kali nikaisimamisha nivuke. Ile kumuangalia driver nusu nianguke barabarani. Alikua kavaa ninja na katia kinyago kwa juu. Nilihisi nimekutana na jambazi. Ila hiyo tabia sijaacha. Nikiona vigari vya kawaida wala siangalii ila haya mazuri naangalia tu nasema one day yesbila shaka huwa unagonganishaga macho na hao madereva. Yani mnaangaliana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunakua tumepangwa na konda tuangalie huko... mistari miwiliNyie wa daladala ndio mmezidi kutuchungulia sisi wa magari binafsi
So uliogopa kuomba lift kwa dereva ninja? HahaNapendaga tu kuangalia wanaoendesha magari mazuri. Sasa kuna siku kimbelembele changu hiki wakati navuka barabara kukawa na Prado kali nikaisimamisha nivuke. Ile kumuangalia driver nusu nianguke barabarani. Alikua kavaa ninja na katia kinyago kwa juu. Nilihisi nimekutana na jambazi. Ila hiyo tabia sijaacha. Nikiona vigari vya kawaida wala siangalii ila haya mazuri naangalia tu nasema one day yes
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni gari binafs kwa anayelimiliki endapo hatapakia abiria siku hiyo
Siwezi kuomba lift maishaa. Basi tu alinitisha kaka dereva. Ngoja niendelee kupambana tu mkuuSo uliogopa kuomba lift kwa dereva ninja? Haha
Yap, penye Nia hakuna kinachoshindikana, piga kazi utamiliki one day.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia yangu hiiNa kuangalia wanawake nje hasa aone tutako kwa nyuma au aone una kasura ka kueleweka kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nikiona range rover au bmw lazima niangalie gari na anaendesha anafanana nalo?wakati hata baiskeli sina [emoji23][emoji23][emoji23]Napendaga tu kuangalia wanaoendesha magari mazuri. Sasa kuna siku kimbelembele changu hiki wakati navuka barabara kukawa na Prado kali nikaisimamisha nivuke. Ile kumuangalia driver nusu nianguke barabarani. Alikua kavaa ninja na katia kinyago kwa juu. Nilihisi nimekutana na jambazi. Ila hiyo tabia sijaacha. Nikiona vigari vya kawaida wala siangalii ila haya mazuri naangalia tu nasema one day yes
Sent using Jamii Forums mobile app