Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kama wewe msomaji ungepata uwezo wa 10% tu ya uwezo wa Mungu tunayeambiwa kuwa ana utajiri usio kwisha, ana huruma na upendo ungekubali mtu uliyemuumba (innocent) ateseke kiasi hichi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah!! speechless kwakweli.Kama wewe msomaji ungepata uwezo wa 10% tu ya uwezo wa Mungu tunayeambiwa kuwa ana utajiri usio kwisha, ana huruma na upendo ungekubali mtu uliyemuumba (innocent) ateseke kiasi hichi?
View attachment 2667063
Mungu hayupoKama wewe msomaji ungepata uwezo wa 10% tu ya uwezo wa Mungu tunayeambiwa kuwa ana utajiri usio kwisha, ana huruma na upendo ungekubali mtu uliyemuumba (innocent) ateseke kiasi hichi?
View attachment 2667063
Kwanini unasema hayupo...?Mungu hayupo
Baada ya hapo, upo tayari nikupe dalili za Qur an?Kabla sjachangia nijue msimamo wako wewe ni mzee Wa first half shahada(laaa ilaha) yaani atheist, hakuna mungu au unaamini mungu yupo
Sent from my phone
Sisi tunaambiwa tumeumbwa kwa sura na mfano wake, kwahiyo huenda naye ana tabia kama zakwetu.Mungu hayupo
Tazama hiyo video halafu useme ilikuwaje mtoto mdogo akawa vuguvugu.Ni kwasababu mmekuwa sio wavuguvugu Wala wabaridi...
Kwa shetani mpo na kwa Mungu mpo...
Mtu anapozaliwa kiziwi na kipofu sometimes plus na ukiwete. Ni matendo yake akiwa tumboni?Kila kitu ni matokeo ya matendo yetu ya Kila siku
Kuna watoto wanateseka kutokana na uovu ambao wazazi wao walifanya...Tazama hiyo video halafu useme ilikuwaje mtoto mdogo akawa vuguvugu.
Vipi umewahi kwenda hospital kitengo cha Cancer na kuona watu wanavyooza?
Wanaoza kwasababu ya uvuguvugu?
Yaani watu wanaona mfano mtu akiwa na ulemavu fulani basi kalaaniwa au ana madhambi kumbe hamnaMtu anapozaliwa kiziwi na kipofu sometimes plus na ukiwete. Ni matendo yake akiwa tumboni?
If no.
Je, una uhakika wewe uliyezaa watoto wasio walemavu u mtakatifu kuliko wazazi wa watoto walemavu?
Hakuna zao lisilowekwa mbolea sikuhizi...pia madawa au njia za kuzuia mimba...lakini pia kuharibu kutoa mimba ikigoma mtoto alizaliwa Lazima awe na hitilafu...nijuavyo mimiMtu anapozaliwa kiziwi na kipofu sometimes plus na ukiwete. Ni matendo yake akiwa tumboni?
If no.
Je, una uhakika wewe uliyezaa watoto wasio walemavu u mtakatifu kuliko wazazi wa watoto walemavu?
Nyie mnaambiwa na nani?Sisi tunaambiwa tumeumbwa kwa sura na mfano wake
Sijakuelewa unachokikusudia hapa,kwahiyo huenda naye ana tabia kama zakwetu.
Si unaona hata wewe kuna watu kibao wana shida na uwezo wa kuwasaidia unao ila unauchuna kama huoni vile..🙄
1 ✅1. MUNGU HAYUPO
2. MUNGU YUPO ILA HANA NGUVU ANAZOSIFIWA ANAZO. HAWEZI KUMUUA SHETANI NA WALA HAWEZI KUZUIA MATESO KWA VIUMBE VYAKE
Sio kweliMungu ni Mungu mwenye HAKI.
Amewapa Watu Uhuru WA kuchagua hayo Maisha iwe mazuri au Mabaya.
Ni uchaguzi wetu kuwa hivi tulivyo.
Mungu akituamulia tuishi Maisha mazuri kuna Watu wanaopenda Maisha mabaya watanyimwa Haki zao.
Ndio maana zipo sheria za kuishi Maisha mazuri ambayo usipochagua kuzifuata umeamua kuwa na Maisha magumu.
Jamii ikiamua uishi Maisha magumu ni sehemu pia ya uchaguzi wako.