Wadada wapole ni wagumu ukiwatongoza only masela ndio wanajilipua bila aibu mara kanasaYaani kwa tafiti kadhaa nilizofanya na uzoefu binafsi nimeamini kweli watu wapole na watulivu hawanaga bahati kwenye mahusiano.
Unaweza kuta mdada mzuri, mtulivu, hana makuu lakini aliyeolewa nae sasa pasua kichwa, vurugu, amani hakuna.
Au mkaka mpole, mvumilivu anaoa kicheche, mtaa mzima anamaliza, ana mdomo hataree lakini watu vicheche hudumu ndoani kuliko hawa mdada au mkaka mpole.
Kuna shida gani na huu upole?
Mnaweza oana wapole kwa wapole na msikae lakini vicheche kwa vicheche wanamaliza miaka pamoja.
Ishu ni hiviiiii!!!UKIONA MTU YOYOTE MPOLE SANA UJUE KUNA UDHAIFU ANAO ANAUFICHA KWAKICHAKA CHA UPOLE.Yaani kwa tafiti kadhaa nilizofanya na uzoefu binafsi nimeamini kweli watu wapole na watulivu hawanaga bahati kwenye mahusiano.
Unaweza kuta mdada mzuri, mtulivu, hana makuu lakini aliyeolewa nae sasa pasua kichwa, vurugu, amani hakuna.
Au mkaka mpole, mvumilivu anaoa kicheche, mtaa mzima anamaliza, ana mdomo hataree lakini watu vicheche hudumu ndoani kuliko hawa mdada au mkaka mpole.
Kuna shida gani na huu upole?
Mnaweza oana wapole kwa wapole na msikae lakini vicheche kwa vicheche wanamaliza miaka pamoja.