Kwanini watu wasipewe mkataba wa kuchezea timu ya taifa tu kama wanavyochezea vilabu?

Kwanini watu wasipewe mkataba wa kuchezea timu ya taifa tu kama wanavyochezea vilabu?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Ni wakati wa kufanya mambo kwa njia tofauti. Kwanini watu wasipewe mkataba wa kuchezea timu ya taifa tu kama wanavyochezea vilabu.

Kazi yao iwe ni mpira kwa aajili ya timu ya taifa, wakilala wakiamka. Inaweza unda timu nzuri sana ya taifa. Chemistry itakuwa kubwa sana. Mpaka sasa kwa timu yetu ilivyo, hatutakuwa na cha kupoteza. Wachezaji wa timu ya Taifa wawe wa timu ya taifa tu.

Kazi yao iwe mpira usiku mchana.
 
Ni wakati wa kufanya mambo kwa njia tofauti. Kwanini watu wasipewe mkataba wa kuchezea timu ya taifa tu kama wanavyochezea vilabu. Kazi yao iwe ni mpira kwa aajili ya timu ya taifa, wakilala wakiamka. Inaweza unda timu nzuri sana ya taifa. Chemistry itakuwa kubwa sana. Mpaka sasa kwa timu yetu ilivyo, hatutakuwa na cha kupoteza. Wachezaji wa timu ya Taifa wawe wa timu ya taifa tu. Kazi yao iwe mpira usiku mchana.
Mtahangaika sana mkuu, hakuna njia ya mkato, fuateni tu, jinsi utaratibu, wa kumuandaa mchezaji unatakiwa!!HAKUNA JANJA JANJA!!muda mwingi mnautumia kwenye hamasa badala ya kufundisha mbinu za mpira!!!
 
Ni wakati wa kufanya mambo kwa njia tofauti. Kwanini watu wasipewe mkataba wa kuchezea timu ya taifa tu kama wanavyochezea vilabu. Kazi yao iwe ni mpira kwa aajili ya timu ya taifa, wakilala wakiamka. Inaweza unda timu nzuri sana ya taifa. Chemistry itakuwa kubwa sana. Mpaka sasa kwa timu yetu ilivyo, hatutakuwa na cha kupoteza. Wachezaji wa timu ya Taifa wawe wa timu ya taifa tu. Kazi yao iwe mpira usiku mchana.
Endelea kuandaa rasimu ya Katiba mpya, mambo ya soccar tuachie wahanga wa tozo.
 
Hiyo timu itakayo undwa Kwa mawazo yako inaweza kufungwa hata na Simba queens.
Hata kidogo. Watu wanaokaa muda wote wakijifunza mpira pamoja na kujenga kemia wanakuwa hatari sana. Sometimes mpira ni kujua kucheza pamoja kuliko individual skills.
 
Ni wakati wa kufanya mambo kwa njia tofauti. Kwanini watu wasipewe mkataba wa kuchezea timu ya taifa tu kama wanavyochezea vilabu. Kazi yao iwe ni mpira kwa aajili ya timu ya taifa, wakilala wakiamka. Inaweza unda timu nzuri sana ya taifa. Chemistry itakuwa kubwa sana. Mpaka sasa kwa timu yetu ilivyo, hatutakuwa na cha kupoteza. Wachezaji wa timu ya Taifa wawe wa timu ya taifa tu. Kazi yao iwe mpira usiku mchana.
Tanzania has no future to majority but minority.
 
Hiyo timu itakua na mashindano gani ya mara kwa mara yakuifanya iwe active ili wachezaji wasipoteze uwezo wao?
 
Hata kidogo. Watu wanaokaa muda wote wakijifunza mpira pamoja na kujenga kemia wanakuwa hatari sana. Sometimes mpira ni kujua kucheza pamoja kuliko individual skills.
Klabu zote za ulaya zina timu za vijana, mfano u23. Lakini huwezi kuona timu nzima ya vijana hawa waliokaa pamoja Kwa muda mrefu imepandishwa na kuwa senior team. Wajua sababu ni nini?
 
Mtahangaika sana mkuu, hakuna njia ya mkato, fuateni tu, jinsi utaratibu, wa kumuandaa mchezaji unatakiwa!!HAKUNA JANJA JANJA!!muda mwingi mnautumia kwenye hamasa badala ya kufundisha mbinu za mpira!!!
Eddo Kumwembe aliwaaambia ukweli TFF wakakasirika wakamfungia
 
Back
Top Bottom