Labda wewe ni miongoni mwa watu ambao wanajitahidi sana kufanya yaliyo mema machoni pa Mungu na kusaidia jamii.
Hata hivyo pale unapopata mateso maishani labda kwanini ninateseka hata ingawa nimejitahidi kufanya yote yaliyomema!
Endapo umefikia hatua hiyo na kujiuliza maswali hayo, nakutia moyo kuwa hauko pekeyako. Na kwakweli kwa silika ya mwanadamu ya kupenda haki, kuona wanadamu wema wanateseka ni lazima kutatokea maswali kama hayo na hata zaidi labda ukatilia shaka kusudi la Mungu kutuumba au hata kuwepo kwake.
Fuatilia nami kwenye Kiambatishi
Hata hivyo pale unapopata mateso maishani labda kwanini ninateseka hata ingawa nimejitahidi kufanya yote yaliyomema!
Endapo umefikia hatua hiyo na kujiuliza maswali hayo, nakutia moyo kuwa hauko pekeyako. Na kwakweli kwa silika ya mwanadamu ya kupenda haki, kuona wanadamu wema wanateseka ni lazima kutatokea maswali kama hayo na hata zaidi labda ukatilia shaka kusudi la Mungu kutuumba au hata kuwepo kwake.
Fuatilia nami kwenye Kiambatishi