Kwanini watu wenye ‘ Sifa ‘ hizi Kuu zifuatazo Vijiweni huhisiwa ni Usalama wa Taifa hasa Kibongobongo?

Kwanini watu wenye ‘ Sifa ‘ hizi Kuu zifuatazo Vijiweni huhisiwa ni Usalama wa Taifa hasa Kibongobongo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wachokoza Mada hasa za Kiserikali na Matukio Nyeti hasa yaliyobeba Hisia za Watu.
Watu ambao huwa hawakosekani Vijiweni 24/7 ila huwa wakimya tu na hawachangii lolote.
Watu ambao hupenda mno Kuchambua mambo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi Kiufasaha.
Watu ambao wakiondoka hapo Vijiweni huwa hawaagi na utashtukia tu hawapo Kitambo.
Watu ambao hupenda kuja Vijiweni mara kwa mara ila huwa hawapendi Kujulikana waishipo.
Watu ambao wakiwa Vijiweni hata ukiomba mbadilishane Namba watakataa au kukukwepa.
Watu ambao mkiwa mmekaa Kijiweni mnashtukia tu wamekuja na huwa hawaanzi Kusalimia.

Nawasilisha.
 
Wachokoza Mada hasa za Kiserikali na Matukio Nyeti hasa yaliyobeba Hisia za Watu.
Watu ambao huwa hawakosekani Vijiweni 24/7 ila huwa wakimya tu na hawachangii lolote.
Watu ambao hupenda mno Kuchambua mambo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi Kiufasaha.
Watu ambao wakiondoka hapo Vijiweni huwa hawaagi na utashtukia tu hawapo Kitambo.
Watu ambao hupenda kuja Vijiweni mara kwa mara ila huwa hawapendi Kujulikana waishipo.
Watu ambao wakiwa Vijiweni hata ukiomba mbadilishane Namba watakataa au kukukwepa.
Watu ambao mkiwa mmekaa Kijiweni mnashtukia tu wamekuja na huwa hawaanzi Kusalimia.

Nawasilisha.
Ni ujinga na fikra potofu kudhani kwamba kua usalama wa taifa ni sifa kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha waje wenyewe watachangia vizuri tu hii mada.

Kwani na hapa Jamvini ( JamiiForums ) kumbe huwa wapo Mkuu? Basi nitashukuru kama nao wakiuona Uzi huu ili kwa Uzoevu na Ubobezi wao ' uliotukuka ' waweze kutuambia ni kwani Watu wenye ' Sifa ' hizo Saba ( 7 ) hapo juu wakiwa Vijiweni hasa Uswahilini huhisiwa ni Usalama wa Taifa.
 
Kwa nini huwa tunawaogopa usalama wa taifa wakati wanajina jema kuliko hata polisi?

Hata watu ambao hawana ratiba maalumu. Unaweza ukamuona au usimuone Muda wowote.
 
Back
Top Bottom