Kwanini watu wenye ‘ Sifa ‘ hizi Kuu zifuatazo Vijiweni huhisiwa ni Usalama wa Taifa hasa Kibongobongo?

Kwanini watu wenye ‘ Sifa ‘ hizi Kuu zifuatazo Vijiweni huhisiwa ni Usalama wa Taifa hasa Kibongobongo?

Sasa wewe kwa akili yako uslama wa taifa ni sifaaaa au?
Ni ujinga kuamini hivyo hiyo ni kazi swa na Ualimu, fundi cherehani au mtumishi yeyote wa umma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongezea watu wenye low profile life lakini wana connection hatari. Mfano utakuta muuza magazeti lakini Ana namba za jafo majaliwa rpc nk na anaweza kuwapigia anytime na wakaongea fresh tu.
 
Ningekuwa jiwe ningemtumbua mkuu wa kitengo haiwezekani CIA aka mabeberu wamdukue mkuu wa jiji halafu wamuanike bila hata kugundulika. Ina maana wakwetu wamezidiwa akili na mabeberu? Wanashindwaje kuwakamata wadukuzi wa viongozi wetu mpaka waanikwe huko nje na kuleta aibu kwa taifa na kimataifa.
Usalana wetu inabidi wabadili mbinu wazuie kudukuliwa viongozi wetu.
nan
 
Wachokoza Mada hasa za Kiserikali na Matukio Nyeti hasa yaliyobeba Hisia za Watu.
Watu ambao huwa hawakosekani Vijiweni 24/7 ila huwa wakimya tu na hawachangii lolote.
Watu ambao hupenda mno Kuchambua mambo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi Kiufasaha.
Watu ambao wakiondoka hapo Vijiweni huwa hawaagi na utashtukia tu hawapo Kitambo.
Watu ambao hupenda kuja Vijiweni mara kwa mara ila huwa hawapendi Kujulikana waishipo.
Watu ambao wakiwa Vijiweni hata ukiomba mbadilishane Namba watakataa au kukukwepa.
Watu ambao mkiwa mmekaa Kijiweni mnashtukia tu wamekuja na huwa hawaanzi Kusalimia.

Nawasilisha.
Binaadamu tuna hisia tano ila kunakujiongeza pia
Kuamini au kutoamini pale inapopaswa kuamini
Hata Kama wakaiwa usalama wataifa Mimi naona nivizuri kwani tunakua tupo nawatu salama
Mimi nikimuhisi tu sitomfatilia wala kutaka kujua kwanini Yuko pale kwani jibu yupo kwaajili yausalama wawatanzania kwanini niwe nahofu wakati sinamakosa Wala sio muhalifu Tena nitampaushirikiano wakumpa muongozo wa wahalifu nitakapopata habari zawahalifu bila yayeye kujua nimejiongeza lakini
 
Binaadamu tuna hisia tano ila kunakujiongeza pia
Kuamini au kutoamini pale inapopaswa kuamini
Hata Kama wakaiwa usalama wataifa Mimi naona nivizuri kwani tunakua tupo nawatu salama
Mimi nikimuhisi tu sitomfatilia wala kutaka kujua kwanini Yuko pale kwani jibu yupo kwaajili yausalama wawatanzania kwanini niwe nahofu wakati sinamakosa Wala sio muhalifu Tena nitampaushirikiano wakumpa muongozo wa wahalifu nitakapopata habari zawahalifu bila yayeye kujua nimejiongeza lakini
HAHA
 
Hivi mnajidanganya kuwa kuna kitu kama usalama wa Taifa..

Taz tuna usalama wa CCM bac
 
Binaadamu tuna hisia tano ila kunakujiongeza pia
Kuamini au kutoamini pale inapopaswa kuamini
Hata Kama wakaiwa usalama wataifa Mimi naona nivizuri kwani tunakua tupo nawatu salama
Mimi nikimuhisi tu sitomfatilia wala kutaka kujua kwanini Yuko pale kwani jibu yupo kwaajili yausalama wawatanzania kwanini niwe nahofu wakati sinamakosa Wala sio muhalifu Tena nitampaushirikiano wakumpa muongozo wa wahalifu nitakapopata habari zawahalifu bila yayeye kujua nimejiongeza lakini
Well
 
Kwa wenzetu kachero wanapiga dili zao na watu wazito siyo vijiweni -mfano at conferences hosted by the International Atomic Energy Agency in Vienna, ‘there are probably more intelligence officers than actual scientists.
 
Back
Top Bottom