Kwanini Watuhumiwa hutoka nduki wakiachiwa huru Mahakamani au Central Police?

Kwanini Watuhumiwa hutoka nduki wakiachiwa huru Mahakamani au Central Police?

Yani umejuakama alipofika nyumbani ndio akajua kwamba hajavaa soks, mbona hayomambo alitakiwa kujua mkewake, jiangalie mkuu au alikupigia cm.
Sasa hapo kujiangalia kunatoka wapi mkuu?
 
mh inawezekana huyo alikuwa na hatia...na ameachiwa kibahati mbaya tuu...ila mimi naamini sehemu kama polisi ama mahakamani ni sehemu salama kama zilivyo nyumba za ibada

Thubutu yako!
 
Muda wote uho wakati anafanya iko kitendo cha kuvaa viwalo vyake we ulikuwa unamfuatia kwa nyuma nyuma kaka,,, duh,

Ni kwa msaada wa Camera za CCTV ambazo zimetapakaa kote mjini. Sijui una swali lingine Kaka!
 
Nimesha mfaham unae mzungumzia......[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu ngoja niishie hapa
 
Kwamba na gari pia aliibeba kutoka central hadi huko Amref ndo kaiweka barabarani na kuipanda?

Roho Mtakatifu aliiendesha kwa muda hadi hapo AMREF / Msalaba Mwekundu kisha Baba Mchungaji akapanda na kutiririka nayo huku akisepa na Vijiji tu huko Mitaani.
 
Siku ukiwekwa huko wewe bila shaka majibu utayapata na utaleta mrejesho hapa!
...sasa nakuomba kitu kimoja hebu nipe majina yako yote na mahali unapopatikana kuna jambo nataka nitete na Makonda juu yako please!!

Kabla sijakupa hizo details zangu zote subiri kwanza nihakiki upya katika ile Karatasi ya Makonda ya Watu 65 kisha nipitie na yale majina yaliyochapishwa katika Gazeti la JAMHURI niangalie kama nami simo katika yale majina 560 ndipo nikupe huo ushirikiano unaoutaka tafadhali.
 
Kuna kipengele kwenye sheria inaitwa 2 .5.5
Ksho ntakupa data zaidi...
Lkn mambo vp gentamyc sijakuona muda kdg humu

Ova
 
Coz wanakua wamepakumbuka sana uraiani na wamekumbuka kua huru na kufanya mambo wayatakayo bila kusimamiwa na mtu,uhuru wa binadamu ni muhimu na unathamani sana,na thamani yake utaijua siku utakapo nyimwa huo uhuru,
Hata watoto wa shule inapogongwa kengere hutoka nduki darasani wakielekea nje ili wawe huru kufanya watakalo bila kusimamiwa na mtu,

Hata kwenye vyombo vya usafiri kama vile Ndege,mabasi,Meli n.k Kila abiria hutaka awe yeye wa kwanza kutoka nje ya hivyo vyombo! Na sababu kubwa ni kutaka kua huru zaidi coz ndani ya safari ya masaa 6 n.k ndani ya chombo cha usafiri ni kama kifungo tu!

Hata mifugo kama vile Kuku,Bata,Mbuzi n.k unapowafungulia asubuhi ili watoke kwenye mabanda yao,basi hutoka nje kwa spidi na kuruka ruka kwa furaha ili wawe huru zaidi kwenda watakako, usiuchezee uhuru wako mkuu ni kitu chenye thamani kubwa sana.
 
Kabla sijakupa hizo details zangu zote subiri kwanza nihakiki upya katika ile Karatasi ya Makonda ya Watu 65 kisha nipitie na yale majina yaliyochapishwa katika Gazeti la JAMHURI niangalie kama nami simo katika yale majina 560 ndipo nikupe huo ushirikiano unaoutaka tafadhali.
Okay, ila ungenipa tu maana ninachotaka kuteta hakina uhusiano na majina aliyoyataja...
 
Hata Mimi imeshanitokea hiyo niliambiwa ukiachiwa huru tu kimbia na upotee eneo la mahakama unaweza kufunguliwa kesi upya,siku ya hukumu niliacha Gari yangu mbali na mahakama nilivyoachiwa tu nduki mpaka kwenye Gari yangu.
 
Huyo alitoka nduki hahahahhahaha hajiamini kwasbb anahusika na alijijua ataitwa tena..hahhahaahha akajiwahi ati kesho na ibada waumini wote waje..hahahahha anaitafta sadaka labda akatoe hata jasho kwa mtori...hahahahah
 
Hivi ni kwanini kila Mtuhumiwa pindi awapo Mahakamani au hata Polisi akiachiwa tu huru hutoka nduki ( hukimbia mara moja ) kutoka eneo la Mahakama au Polisi huku wengine wakiwa radhi hata kukimbia pekupeku na gari watapandia mbele kwa mbele?

Nini hupelekea hali hii ambayo nimekuwa nikiishuhudia mno pale Mahakamani Kisutu na pale Central Police. Kwa mfano leo hii hii nimemuona Mtu mmoja maarufu sana alipoachiwa tu kutoka alikohifadhiwa tai yake kaja kuifungia Kona ya Stesheni, Kiatu kakivalia Kituo cha zamani cha Mabasi cha Kisutu, Rozari yake kaivalia pale DIT na gari yake kaja kuipandia hapa maeneo ya AMREF / Msalaba Mwekundu na kakumbuka kuwa hakuvaa Soksi tayari akiwa ameshafika Nyumbani Kwake.

Nitashukuru kwa majibu yenu hasa ukizingatia kuwa kila Mtanzania ni Mtuhumiwa au Mfungwa mtarajiwa.
Ha ha ha haaaa...acha kutufunga kamba za ukili mkuu.
 
Back
Top Bottom