Kwanini Watuhumiwa hutoka nduki wakiachiwa huru Mahakamani au Central Police?

Kwanini Watuhumiwa hutoka nduki wakiachiwa huru Mahakamani au Central Police?

Kama umegundua kitu watu wakishuka kwenye pantoni pia hutoka mbio utadhani wanashindana (zamani nilidhani ni sheria).

Sijapata jibu na sina jibu hapa.
Mara nyingi wengi wanawahi vyombo vya Usafiri Daladala,Bajaj ATUL na Mwendokasi kuunganisha na maeneo mengine jijini,Pia wengine wanawahi kabla Magari hayajaruhusiwa kwani yanasababisha wachelewe haswa wenye Baisikeli,Mikokoteni na Guta, mwisho Pale kuna ka-mlima(mpando)na hulka za wengi hupenda ku-trout wakipanda mlima (mpando)
 
mh inawezekana huyo alikuwa na hatia...na ameachiwa kibahati mbaya tuu...ila mimi naamini sehemu kama polisi ama mahakamani ni sehemu salama kama zilivyo nyumba za ibada
Not in Tz, usijiamini kupita kiasi utakuja kujuta.
 
Mara nyingi wengi wanawahi vyombo vya Usafiri Daladala,Bajaj ATUL na Mwendokasi kuunganisha na maeneo mengine jijini,Pia wengine wanawahi kabla Magari hayajaruhusiwa kwani yanasababisha wachelewe haswa wenye Baisikeli,Mikokoteni na Guta, mwisho Pale kuna ka-mlima(mpando)na hulka za wengi hupenda ku-trout wakipanda mlima (mpando)
Kabla ya mwendokasi watu wanakimbia mwendokasi umekuja watu wanakimbia.
Halafu ukiwa makini utagundua wengine wanakimbia ila hawana hata mpango wa kupanda chochote, hua wanatembea.

Na kukimbia huko kupo hata upande wa Kigamboni
 
Police hua wanakuwepo na wanaweza kukukamata na kukufungulia mashitaka mengine.unaweza kua uneshunda kesi kiujanja ujanja wa kukosa kidhibiti lakini kumbe kweli ulikua na shida
 
mh inawezekana huyo alikuwa na hatia...na ameachiwa kibahati mbaya tuu...ila mimi naamini sehemu kama polisi ama mahakamani ni sehemu salama kama zilivyo nyumba za ibada
Hao huwa wanaachiwa kwa makosa yalio ndani ya "hati ya mashitaka tu" kwayiyo polisi au waendesha mashtaka wanaruhusiwa kukukamata nje ya mahakama na kukurejesha tena mahakamani huku zile defects za hiyo hati wameshazisahihisha.
 
Coz wanakua wamepakumbuka sana uraiani na wamekumbuka kua huru na kufanya mambo wayatakayo bila kusimamiwa na mtu,uhuru wa binadamu ni muhimu na unathamani sana,na thamani yake utaijua siku utakapo nyimwa huo uhuru,
Hata watoto wa shule inapogongwa kengere hutoka nduki darasani wakielekea nje ili wawe huru kufanya watakalo bila kusimamiwa na mtu,

Hata kwenye vyombo vya usafiri kama vile Ndege,mabasi,Meli n.k Kila abiria hutaka awe yeye wa kwanza kutoka nje ya hivyo vyombo! Na sababu kubwa ni kutaka kua huru zaidi coz ndani ya safari ya masaa 6 n.k ndani ya chombo cha usafiri ni kama kifungo tu!

Hata mifugo kama vile Kuku,Bata,Mbuzi n.k unapowafungulia asubuhi ili watoke kwenye mabanda yao,basi hutoka nje kwa spidi na kuruka ruka kwa furaha ili wawe huru zaidi kwenda watakako, usiuchezee uhuru wako mkuu ni kitu chenye thamani kubwa sana.
Kuna ka mantiki, ila kwa wale wa mahakamani kuna ya zaidi ya haya.
 
Sasa hapo kujiangalia kunatoka wapi mkuu?
Sentence nyingine zina zuamaswali kiongozi.
Huko mahakamani au police sawa, unaweza kuona mtuanavyo toka lakini mbaka nyumbani kwake it's litle bit confusion.
 
Sentence nyingine zina zuamaswali kiongozi.
Huko mahakamani au police sawa, unaweza kuona mtuanavyo toka lakini mbaka nyumbani kwake it's litle bit confusion.
Hahahaha
 
Hivi ni kwanini kila Mtuhumiwa pindi awapo Mahakamani au hata Polisi akiachiwa tu huru hutoka nduki ( hukimbia mara moja ) kutoka eneo la Mahakama au Polisi huku wengine wakiwa radhi hata kukimbia pekupeku na gari watapandia mbele kwa mbele?

Nini hupelekea hali hii ambayo nimekuwa nikiishuhudia mno pale Mahakamani Kisutu na pale Central Police. Kwa mfano leo hii hii nimemuona Mtu mmoja maarufu sana alipoachiwa tu kutoka alikohifadhiwa tai yake kaja kuifungia Kona ya Stesheni, Kiatu kakivalia Kituo cha zamani cha Mabasi cha Kisutu, Rozari yake kaivalia pale DIT na gari yake kaja kuipandia hapa maeneo ya AMREF / Msalaba Mwekundu na kakumbuka kuwa hakuvaa Soksi tayari akiwa ameshafika Nyumbani Kwake.

Nitashukuru kwa majibu yenu hasa ukizingatia kuwa kila Mtanzania ni Mtuhumiwa au Mfungwa mtarajiwa.
Kumbe hata wewe ulimwona alafu alijikwaa kidogo tuu adondoke nadha kama ni maumivu kaenda kuyasikilizia mbali
 
Kuna kipengele kwenye sheria inaitwa 2 .5.5
Ksho ntakupa data zaidi...
Lkn mambo vp gentamyc sijakuona muda kdg humu

Ova

Nilikwenda ' kutambika ' kidogo huko Kijijini Kwetu Uzanakini Musoma Vijijini hivyo ' mizimu ' yetu ya Kizanaki iitwayo ' Muhunda ' huwa haitaki mambo yenu haya ya ' ki globalization ' ikaniamuru nisishughulike nayo ili wanifanyie ' Matambiko ' yao na nikimaliza ndipo nirudi Dar na niendelee nayo hivyo nimerejea Dar Ijumaa na kuanza kuwepo humu ' Jamvini ' kama kawaida tokea jana Jumamosi na kama kawaida yangu ' natiririka ' tu bila wasiwasi nikiwa na ' Chaji ' mpya kabisa ya Mababu na Mabibi wa Kizanaki. ONYO KWAKO siku nyingine usirudie tena kukosea kuandika ID yangu kama inavyotakiwa na wala sipendi uifupishe Mkuu sawa? ID yangu hiyo inafuatiliwa hadi na Trump, Putin, Mr. Tanzania ya Viwanda, Museveni, Kabila, Kagame, Makonda, Wauza Unga na Sembe na hadi Vibaka wote maeneo mbalimbali bila kusahau Sir God na Malaika wake wote wakuu akina Gabrieli na Mikaela hivyo yakupasa uiheshimu mno. Nimekuja na Karanga mbichi na Unga wa Ulezi Mkuu una Mke ili nikupunguzie kidogo hizi Karanga Mbichi kwani naona zikiendelea kukaa hapa Kwangu na hivi ninavyozifululiza kuzila kila baada ya dakika 3 naweza kuombwa ' Talaka ' na Shemeji yako muda si mrefu.
 
Ha ha ha ha karibu sana,nasubiria hizo karanga mbiCHIGENTAMYCINE

OVA
Nilikwenda ' kutambika ' kidogo huko Kijijini Kwetu Uzanakini Musoma Vijijini hivyo ' mizimu ' yetu ya Kizanaki iitwayo ' Muhunda ' huwa haitaki mambo yenu haya ya ' ki globalization ' ikaniamuru nisishughulike nayo ili wanifanyie ' Matambiko ' yao na nikimaliza ndipo nirudi Dar na niendelee nayo hivyo nimerejea Dar Ijumaa na kuanza kuwepo humu ' Jamvini ' kama kawaida tokea jana Jumamosi na kama kawaida yangu ' natiririka ' tu bila wasiwasi nikiwa na ' Chaji ' mpya kabisa ya Mababu na Mabibi wa Kizanaki. ONYO KWAKO siku nyingine usirudie tena kukosea kuandika ID yangu kama inavyotakiwa na wala sipendi uifupishe Mkuu sawa? ID yangu hiyo inafuatiliwa hadi na Trump, Putin, Mr. Tanzania ya Viwanda, Museveni, Kabila, Kagame, Makonda, Wauza Unga na Sembe na hadi Vibaka wote maeneo mbalimbali bila kusahau Sir God na Malaika wake wote wakuu akina Gabrieli na Mikaela hivyo yakupasa uiheshimu mno. Nimekuja na Karanga mbichi na Unga wa Ulezi Mkuu una Mke ili nikupunguzie kidogo hizi Karanga Mbichi kwani naona zikiendelea kukaa hapa Kwangu na hivi ninavyozifululiza kuzila kila baada ya dakika 3 naweza kuombwa ' Talaka ' na Shemeji yako muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom