Kwanini watumiaji wa bangi wa Tanzania tuna midomo myeusi?

Kwanini watumiaji wa bangi wa Tanzania tuna midomo myeusi?

bafetimbi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
1,085
Reaction score
1,741
Kila nikijiuliza sipati jibu, juzi hapa nimekutana na ndugu yangu hatujaonana kitambo sana. Katika kupiga stori akaniambia kati ya sigara au bangi kuna kimoja unatumia. Nikamuuliza umejuaje? Akasema nimeona tu mdomo mweusi.

Sasa hawa wenzetu kina Bob Marley, Snoop Dogg, Wiz khalifa, Obama, Lil wayne, Chris Brown mbona hawana midomo myeusi? Au bangi yetu ni kali sana?

Tusaidiane wazee tuondoe huu weusi mdomoni.

Naomba kuwasilisha

1575372855674.png
 
Mnavuta hadi cha ukucha kwahiyo ule moshi unachafua mdomo.

Ikifika size huwezi ishika katikati ya vidole iache itupe.

Kama tu sigara ndio maana wakaweka kile kishungi kisponchi, kwa ajili ya kushika na pia kutounguza mdomo wako.
 
Yes , somehow it is true that smoking weed causes to blackening of lips with time due to excess smoking. BUT there also few other reason got us to think why they got black?

Actual reason is lack of hydration of lips cell and unhygienic touch. Smoke leads to blockage of pores with smoke contents. As we know lips are very sensitive, smoke leads to excess of heat or burning of upper cells cause blackening of lips.

The only ultimate solution for this is to drink sufficient water before and after every smoke sesh. This will regulate the water content in the body and ur cells will be active.
 
kunywa MAJI kama mamba,hapo utasahau hiyo kadhia

jingine nunua Mafuta ya Nazi ...iwe mnara au halisi;unakuwa unapaka hizo lips...

hapo lips zitarudi ktk hali ya kawaida:laini na nyonyoro kama lips za Diamond
 
shida mnavutia hadi kile ki nari cha mwisho,ukivuta vuta ki smart

ikifika kipisi tupa huko tatzo lenu mnakibana hadi rizla yote muivute

nna mwanangu ikikarbia mwisho hatupi,anachukua njit ya kiberiti anaivunja

anabana ki nari chake anakimalizia,kutupa hatupi asee bora atafune ila sio atupe
 
Back
Top Bottom