Kwanini watumiaji wa bangi wa Tanzania tuna midomo myeusi?

Kwanini watumiaji wa bangi wa Tanzania tuna midomo myeusi?

shida mnavutia hadi kile ki nari cha mwisho,ukivuta vuta ki smart

ikifika kipisi tupa huko tatzo lenu mnakibana hadi rizla yote muivute

nna mwanangu ikikarbia mwisho hatupi,anachukua njit ya kiberiti anaivunja

anabana ki nari chake anakimalizia,kutupa hatupi asee bora atafune ila sio atupe
Ndiyo maana mdomo mweusiiii
 
Sasa mkuu unavuta mpaka kile kipisi unabalancia na jani la mgomba mdomo unaungua
 
Back
Top Bottom