ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Kumbeee, okeeeYani huyo ni mimi kabiisaaaa, ukimuona huyo umeniona mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeee, okeeeYani huyo ni mimi kabiisaaaa, ukimuona huyo umeniona mimi.
Unapo vuta bang ile ya mwishon inaitwa shoya au kishoya kile knakuwag cha kuckilzia mzigoKila nikijiuliza sipati jibu, juzi hapa nimekutana na ndugu yangu hatujaonana kitambo sana. Katika kupiga stori akaniambia kati ya sigara au bangi kuna kimoja unatumia. Nikamuuliza umejuaje? Akasema nimeona tu mdomo mweusi.
Sasa hawa wenzetu kina Bob Marley, Snoop Dogg, Wiz khalifa, Obama, Lil wayne, Chris Brown mbona hawana midomo myeusi? Au bangi yetu ni kali sana?
Tusaidiane wazee tuondoe huu weusi mdomoni.
Naomba kuwasilisha
View attachment 1280314