Kwanini watumishi hawana hamu na tarehe 1/5/2023 sikukuu ya wafanyakazi? Ni majeraha ya nyongeza ya 23% mshahara?

Kwanini watumishi hawana hamu na tarehe 1/5/2023 sikukuu ya wafanyakazi? Ni majeraha ya nyongeza ya 23% mshahara?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Kama mjuavyo mwaka jana watu walikuwa kimuhemuhe cha nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23.3 kitu ambacho "msigwa na raisi wa tukta" hawana majibu ya namna asilimia hizo zilivyo ongezwa kwenye mishahara ya watumishi.

Jambo hilo huwenda ndio chanzo cha watumishi walio wengi kupoa mioyo yao tarehe hizi maymos ikiwa inakaribia.

Mwaka huu wategemee nini?

Mowayungu angekuwepo bila shaka angetia neno. Ngoja nimwite pacha wake
Countrywide
 
Screenshot_20230426-100419.png
 
Nadhani asilimia kubwa ni Walimu,maana wanapigwa na serikali pamoja CWT
 
Dah ni maumivu baada ya 23% ni 2.3% tusubr anaweza fanya jambo mei mosi ii.
 
Kama mjuavyo mwaka jana watu walikuwa kimuhemuhe cha nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23.3 kitu ambacho "msigwa na raisi wa tukta" hawana majibu ya namna asilimia hizo zilivyo ongezwa kwenye mishahara ya watumishi.

Jambo hilo huwenda ndio chanzo cha watumishi walio wengi kupoa mioyo yao tarehe hizi maymos ikiwa inakaribia.


Mwaka huu wategemee nini?
Mowayungu angekuwepo bila shaka angetia neno. Ngoja nimwite pacha wake
Countrywide
Morali ya Mei Mosi imepotea kwa watumishi wa umma kwa sababu mwaka jana walikuwa na matumaini ya nyongeza size ya tembo lakini wakaongezwa size ya panya buku
 
Nadhani asilimia kubwa ni Walimu,maana wanapigwa na serikali pamoja CWT
Watumishi wenye hali ngumu nchii hii ni wqnaofanya kazi chini ya TAMISEMI (walimu, watendaji wa vijiji na kata, nakadhalika)
 
Ni mtumishi mjinga pekee atakayekaa asubiri serikali hii ya kifisadi imuinue kiuchumi kupitia mshahara,wajanja walishaacha hizo mbishe ni mwendo wa kujipigia tu na kufanya mishe zako.
 
Weee waache huko huko wafanyabiashara tumetosha
😂😂😂

INSTAGRAM @dollrubii_decors
Acha waje kujitafutia chochote serikali inawachezesha tu kama mwana sesere
 
Morali ya Mei Mosi imepotea kwa watumishi wa umma kwa sababu mwaka jana walikuwa na matumaini ya nyongeza size ya tembo lakini wakaongezwa size ya panya buku
😁😁😁 size ya panya buku ila zilikuwa dharau
Nyamhokya na mwenzake msigwa wanakuja na press nyepesii isiyo eleweka masikioni pa watumishi.

Waziri mkuu akaja na maelezo ya kujiumauma tu bila kueleza bayana 23% iliyotamkwa imeongezwaje kwenye mishahara ya watumishi.

Heko kwa zanzibar nyeupe ni jyeupe nyeusi ni nyeusi.

Tatizo huku gharama zabuendeshaji serikali na matumizi ya hovyo yanabana maslahi ya walio wengi
 
Wanateseka sana.

Nauli za boda Kila. Siku
Unajua swala la keki ya taifa lilianza kuleta tofauti za kimaslahi pale walipo zipa majina mawili tofauti
1. Serikali kuu
2. Serikali za mitaa

utajichagulia wewe uko namba moja au mbili
 
Enzi za utawala wa Dikteta Bashite aliwaambia wakijitokeza na mabango ya kudai haki atawatandika bakora hadharani.
 
Enzi za utawala wa Dikteta Bashite aliwaambia wakijitokeza na mabango ya kudai haki atawatandika bakora hadharani.
Pumbavu sana yule kijana. Na alikuwa anaongea na watu wazima wanaomzidi umri kwakua alikuwa amevimbiwa madaraka akaropoka
 
Ni mtumishi mjinga pekee atakayekaa asubiri serikali hii ya kifisadi imuinue kiuchumi kupitia mshahara,wajanja walishaacha hizo mbishe ni mwendo wa kujipigia tu na kufanya mishe zako.
Uko sawa
 
Back
Top Bottom