darren gold
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 312
- 185
huyu dogo amekaa kishoga shogaPraise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu
Nyie mnamuelewaje kwani???
New-song shukrani
Hamtaji YESU lakini anamtaja MUNGU. Wimbo wake mpya wa SHUKRANI kafanya hivyo akimshukuru MUNGU.Kila mtu anayekiri kuwa yupo kristo
Na alikufa kwaajili yake
Huyo atakuwa wake
Lakini Kama uimbaji wake hamtaji Yesu hapo lazima mashaka yawepo
Sent using Jamii Forums mobile app
NonsenseI heard ni bwabwa pia,
Nisher hebu pitapita maeneo haya...Naona mchiz anakutukania mshua wako.[emoji3] [emoji3]Geo davie wa arusha bonge la sharo alafu linajichubua na kupaka lipshine
"No pun intended...?" Sarcastic.Love it!Mimi nampenda rose muhando. Kuanzia uvaaji na kucheza (no pun intended, anacheza kama kapagawa)
Sent using Jamii Forums mobile app
very unfortunately, Mungu anaangalia hata mavazi unayovaa,ndio maana kuna aina ya mavazi anaruhusu, menigne haruhusu, wala msifuatishe namna ya dunia hii.....usiishi kwa kubadilika kadiri dunia inavyotaka bali kadiri Neno la Mungu linavyotaka. usijevaa vibaya, mfano mwanamke kavaa mavazi ya kikahaba akasema Mungu anaangalia moyo sio mavazi, usije kaa pamoja na watu wenye mizaha wanaomdhihaki Mungu, chagua marafiki wa kuwa nao kondoo wa Bwana wanaijua sauti yake na humfuata, hakuna ukristo tofauti na ukristo wa watu wengine, kama kweli unaongozwa na Roho yule yule wa Kristo ambaye na wenzio wanaye lazima mtakuwa na tabia zinazoendana. binafsi huwa simwelewi kuanzia mapozi, nyimbo zake, kutunga nyimbo ya kidunia isiyokuwa ya kimungu, unajua bongoflava ni nyimbo za kishetani/hazihamasishi watu kumtumikia Mungu, zinahamasisha tu uzinzi, ugomvi na takataka za dunia hii, ukiona mtumishi anawatungia watu wa dunia nyimbo jua hana Mungu, anahitaji msaada.Mungu haangalii mavazi,mwili,umbo au uzuri yy anaangalia moyo afu Mungu aonavyo ni tofauti na ss binadamu tuonavyo kumtumikia Mungu si lazima uvae suruali ya kitambaa na shati la thatini na tai usikariri badilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakwangu naye anamkubaali huyo boya sijui kawapa niniKuna kidem changu form four leave kinamkubali kinampenda huyo jamaa me huwa nakiangalia tu nasema, hiiiiii
jamaa target yake ni watu wote wenye imani tofauti ndomana hamtaji Yesu pia msanii mwengine ambaye hamtaji yesu kwenye nyimbo zake na anakiki ni Angel Benard. kiukweli wamefanikiwa kwa hili maana comments za nyimbo zao zina watu wa imani tofauti tofautiHamtaji YESU lakini anamtaja MUNGU. Wimbo wake mpya wa SHUKRANI kafanya hivyo akimshukuru MUNGU.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mabati chapa simbaAlitakiwa avae mabwanga na suti za kung'aa kama mabati ndio aonekane sio wakidunia
coz jamaa ana mambo ya kike kike ndio maana videmu vinapendaWakwangu naye anamkubaali huyo boya sijui kawapa nini
Ungeweka na kapicha mkuu!Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu
Nyie mnamuelewaje kwani???
New-song shukrani
Kuna kidem changu form four leave kinamkubali kinampenda huyo jamaa me huwa nakiangalia tu nasema, hiiiiii
Hahaah huku karatu sidhan kama alishawah kuja huyo jamaa sema basi ule utoto wa kuhusudu wasanii ukizingatia ndio kamemaliza form 4Anakuchapia mkuu