Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kijana yuko safi kabisa,hata mimi wa upande wa pili namsikiliza,tatzo wengi wenu huko upande wa born again ni walugaluga,washambawashamba ndo maana hata mavazi yenu ya hovyohovyo,yakizamaani.Ingawa siwezi walaumu maana wengi wao ni wakuja.
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
Mkuu ni wewe nini katika sura nyingine
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
 
Kijana yuko safi kabisa,hata mimi wa upande wa pili namsikiliza,tatzo wengi wenu huko upande wa born again ni walugaluga,washambawashamba ndo maana hata mavazi yenu ya hovyohovyo,yakizamaani.Ingawa siwezi walaumu maana wengi wao ni wakuja.
[emoji1] [emoji1]
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
MUNGU WANGU...[emoji1]
 
Huyu muhuni achague moja kati ya baridi au moto

Kwenye dini Hamna usela km anavyojiaminisha yy

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Back
Top Bottom