Alitakiwa avae mabwanga na suti za kung'aa kama mabati ndio aonekane sio wakidunia
Mkuu ni wewe nini katika sura nyinginePraise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu
Nyie mnamuelewaje kwani???
New-song shukrani
Hajawahi hata nyimbo moja kutaja jina la YESUSasa kama katika uimbaji wake hajawahi kumtaja Yesu Kristo, yeye Ni Mkristo wa namna gani?
[emoji1] [emoji1] WATU NDO WANATAKA HIVYO...Alitakiwa avae mabwanga na suti za kung'aa kama mabati ndio aonekane sio wakidunia
KWELI KABISANyimbo zake zinagusa jamii zote bila mipaka...
Sent from Nokia 9100
JINA YESU NI NGOE KUBWA KWA MKRISTONi mwimbaji mzuri lakini hataji
Jina La YESU why?
[emoji1] [emoji1]Kijana yuko safi kabisa,hata mimi wa upande wa pili namsikiliza,tatzo wengi wenu huko upande wa born again ni walugaluga,washambawashamba ndo maana hata mavazi yenu ya hovyohovyo,yakizamaani.Ingawa siwezi walaumu maana wengi wao ni wakuja.
HAPANA SOMA THREAD ZANGU UAMINIMkuu ni wewe nini katika sura nyingine
UTHIBITISHO...Yule ni KANJANJA TU HANA LOLOTE KUJIFUNYA MPENDWA ILA MHUNI TU KAMA AKINA SIE..!
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU WANGU...[emoji1]Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]