Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kuna waimbaji wa nyimbo za Injili na wasanii wa Nyimbo za Injili hawa ni tofauti kabisa
 
Ambwene Mwasongwe injini ya Yesu ile, kaanza mda mda kazi zake, ukimwona kama wa jana vile Yesu anamtunza.

Kizazi cha akina Gosbet cha starehe na fashion... Wanamwimbia Mungu kwa kubana pua..mavazi ya kisaniiiiii...tulizoea miaka ya kati hapo akina Bony Mwaitege mikoti mikubwa mpaka ktk magoti..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
Kwahiyo jina la Yesu lina nguvu zaidi ya Mungu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mtumishi wa Mungu utakiwi kuwa sharo mbona wapo wengi wazuri kwa kuvaa na wanajua kumtumikia Mungu why Goodluck gozbert
wewe ni nani yake afadhali simfahamu ila ngoj nimsake

mbona hii kama si nyimbo ya dini sasa?




 
Napenda nyimbo zake lakini sipendi anavyojiweka, anakuwa km kunguru bwana na vile vinguo vyake km anqtakq kurukq
 
Back
Top Bottom