Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Kwahiyo jina la Yesu lina nguvu zaidi ya Mungu,sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
Kukataza maovu ni kuhukumu???Binadamu mmeanza kuhukumu.
Kukataza maovu ni kuhukumu???
Mimi sikatai kukanywa maovu yangu nilionayo.Maovu yapi? Wewe huna maovu?
Mimi sikatai kukanywa maovu yangu nilionayo.
Ninaweza nijione mkamilifu kumbe sio. Duniani hakuna mkamilifuHaujajibu swali.
Ninaweza nijione mkamilifu kumbe sio. Duniani hakuna mkamilifu
Kama mpaka hapo hujaelewa usinichoshe.Jibu swali sio porojo.
hahahaha kwaya bila suti na kurukaruka hainogihahahaha umenifurahisha umenikumbusha kwaya za iringa na mbeya hahahh! mashati mtelezo hahahaa! surual mguu mmojaunaweza toa suruali nyingne dah!
hahahaha kwaya bila suti na kurukaruka hainogi
MKUU, WE NI MFARISAYO πππππππKuna waimbaji wa nyimbo za Injili na wasanii wa Nyimbo za Injili hawa ni tofauti kabisa
wewe ni nani yake afadhali simfahamu ila ngoj nimsakeKwani mtumishi wa Mungu utakiwi kuwa sharo mbona wapo wengi wazuri kwa kuvaa na wanajua kumtumikia Mungu why Goodluck gozbert
hahaha pastor komanya ripSasa kama katika uimbaji wake hajawahi kumtaja Yesu Kristo, yeye Ni Mkristo wa namna gani?
ulitaka avae vitenge au?Mi mwenyewe simuelewi , huyu anaimba bongo fleva ila anajificha kwenye kivuli cha dini. Halaf ni sharo balo tofauti na kina legend Ambwene mwasonge