miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Nikikutajia watakusaidia nn mkuu? Pambana na hao matapeli wako hapo wa MATAGA[emoji23]Unafahamu aina ngapi za infomers na majukumu yao ni yapi hasa [emoji16][emoji16][emoji16]
π π π unaona unaongea kitu ambacho hujui halafu nani kakuambia infomer ni ofisa?Nikikutajia watakusaidia nn mkuu? Pambana na hao matapeli wako hapo wa MATAGA[emoji23]
Halaf kuna huyo akaanzishaga slogan yake ingine nimeisahau ila haikuhit. Ikapotea
Ni MATAGA lialia huyo. Na hajawahi vaa kaunda huyu fala. Sema sina story nae. Mataga siyo binadamu[emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Beach Kidimbwi huwa ninakwenda mara nyingi tu sijawahi kushuhudia jitu linajitambulisha kuwa linafanya kazi huko....sema siwezi nikakusemea wewe.....binafsi sijawahi kwa kweli.....Leo nenda kidimbwi utawaona mara mara moja uwe unakimbia vijiwe vya kahawa utawaona tu wanalewa hovyo kwa fedha za mikopo.
π€£π€£Mkuu unawachukia sana MATAGA....isije ikawa "ulimuwowa mmoja handsome" akakulia PESA ZAKO na ukaibiwa na mjanja mwenzako wa mjini sasa leo kila mmoja wao ni "punching bag" lako ha ha ha haNikikutajia watakusaidia nn mkuu? Pambana na hao matapeli wako hapo wa MATAGA[emoji23]
Halaf kuna huyo akaanzishaga slogan yake ingine nimeisahau ila haikuhit. Ikapotea
Ni MATAGA lialia huyo. Na hajawahi vaa kaunda huyu fala. Sema sina story nae. Mataga siyo binadamu[emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£π€£ mimi si mtu wa shari ni mtu wa amani sanaBeach Kidimbwi huwa ninakwenda mara nyingi tu sijawahi kushuhudia jitu linajitambulisha kuwa linafanya kazi huko....sema siwezi nikakusemea wewe.....binafsi sijawahi kwa kweli.....
Kwa hiyo uko siku utakwenda tena kumtega adui yako AJAE nyavuni umlipue kishari?!!π€£π€£
Mkuu muogope Mungu....humu mitaani huwa tunaoneana kwa mengi tu.....wengine ni wapuuzi tu....muhimu KUWAPUUZA TU...
π€£Leo nenda kidimbwi utawaona mara mara moja uwe unakimbia vijiwe vya kahawa utawaona tu wanalewa hovyo kwa fedha za mikopo.
Huyu miss pablo ndio wale aina ya wanawake ambao wakijua fulani ni mwewe basi hujongea mwenyewe kwenye kiota bila nguvu. Ndio hawa wakiliwa wanapayuka hovyo π ππ€£π€£Mkuu unawachukia sana MATAGA....isije ikawa "ulimuwowa mmoja handsome" akakulia PESA ZAKO na ukaibiwa na mjanja mwenzako wa mjini sasa leo kila mmoja wao ni "punching bag" lako ha ha ha ha
Ulishaandaa kutumia SILAHA....amani ingepotea sema Mungu ni mkuu sana π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mimi si mtu wa shari ni mtu wa amani sana
π€£π€£π€£Si kwa povu atoalo....isije kuwa kahudumia sana "blaza la Mataga" Sasa anaugulia maumivu ha ha ha WAHUNI SI WATU....Huyu miss pablo ndio wale aina ya wanawake ambao wakijua fulani ni mwewe basi hujongea mwenyewe kwenye kiota bila nguvu. Ndio hawa wakiliwa wanapayuka hovyo π π
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Samahani tajiri wanawake wenye matako makubwa kama hayo huwa sivutiwii nao kabisa
Hao informers ndo wanaokuongopea wewe ni maafisa. Ambacho huelewi ni nn.[emoji28][emoji28][emoji28] unaona unaongea kitu ambacho hujui halafu nani kakuambia infomer ni ofisa?
Ndo maana namkatalia. Maafisa hata siku moja. Yaani kujitambulisha its like their death sentenceBeach Kidimbwi huwa ninakwenda mara nyingi tu sijawahi kushuhudia jitu linajitambulisha kuwa linafanya kazi huko....sema siwezi nikakusemea wewe.....binafsi sijawahi kwa kweli.....
Kwa hiyo iko siku utakwenda tena kumtega adui yako AJAE nyavuni umlipue kishari?!![emoji1787][emoji1787]
Mkuu muogope Mungu....humu mitaani huwa tunaoneana kwa mengi tu.....wengine ni wapuuzi tu....muhimu KUWAPUUZA TU...
Ila mkuu hao jamaa utakuwa unawajua mno....π€£Pia wanafujo barabarani na gari zao za mikopo na wengi ukiwafuwafuatilia ni wametoka interior huko wakifika dar ni fujo fujo π
Hapana mkuu, nawachukia kwakua wanaturudisha nyuma. Wako.UVCCM wanajielewa sana. Hawapendi ujinga. Ila mataga wako kimaslahi zaidi[emoji1787][emoji1787]Mkuu unawachukia sana MATAGA....isije ikawa "ulimuwowa mmoja handsome" akakulia PESA ZAKO na ukaibiwa na mjanja mwenzako wa mjini sasa leo kila mmoja wao ni "punching bag" lako ha ha ha ha
Unaongea nini mkuu π πHao informers ndo wanaokuongopea wewe ni maafisa. Ambacho huelewi ni nn.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wana mitaa yao maalamu ikiwemo kidimbwi π wafikishie ujumbe waache ulimbukeni wakiwa miji ya watu.Ila mkuu hao jamaa utakuwa unawajua mno....π€£
Yaani kila mwenye fujo barabarani ni hao jamaa duuh?!!!
Kuna kipindi huku barabarani kila mwenye misuli ya cheo/fedha/ubini/uzawa/umaarufu huwa ANA FUJO SANA.....Sasa unawezaje kuwatofautisha?!!!π³π³π€£
Wewe ongea yote. Nisemee yote. Ila mkeo wameshapita nae. Usinirudishe huko... na wala usiniperonate na mambo kwa hisia zako. Hao mataga wewe waundie tu zengwe. Ni waoga balaaaHuyu miss pablo ndio wale aina ya wanawake ambao wakijua fulani ni mwewe basi hujongea mwenyewe kwenye kiota bila nguvu. Ndio hawa wakiliwa wanapayuka hovyo [emoji28][emoji28]
[emoji112][emoji112][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtu wa amani wakati aligombelezewa na akataka kutoa bastolaUlishaandaa kutumia SILAHA....amani ingepotea sema Mungu ni mkuu sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]