miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ukapate kupanda madaraja.. u are very humbled. Watu wema bado wapo. Sema sasa watu nao wakioataga madaraka wanabadilika mno aisee... na wanakua tayari kulinda vyeo vyao kivyovyote.vile.. hope u wont changeUnajua nini mkuu....
Ukweli una kawaida ya KUPANDA NGAZI....na UONGO hupanda LIFTI....
Unajua hulka za watu zinajulikana....kabla ya kuwa kiongozi.....ni jukumu la hao wanaopendekeza majina kuongeza UMAKINI....inawezekana kabisa kwani hayo si "rocket science"....
[emoji23][emoji23][emoji23] nitakutumia picha yake... kinarembuajeee[emoji23][emoji23]Hiyo mbususu unayo kweli ama changa la macho [emoji28][emoji28]
Mbele ya nyimbo La Isla Bonita ya Madonna unalika kiulaini tu, kama UVCCM wameweza mimi nitashindwa vipi? 😅😅Anayelia ni nani mkuu? Mwanaume mzima na uzi ukafungua[emoji23][emoji23][emoji23] mkeo anaachia tu geti.. mimi ni local mwenye principal zangu. Tuogope siye wanawake masela. Nitalala.na wewe mpk kunakucha hujaona mbususu yangu..
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huyu mwamba hana makuu na watu, ila tayari anashakula teuzi anakula mema ya nchi katika awamu ya sita, awamu ya tano ilimtenga kidogo.Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ukapate kupanda madaraja.. u are very humbled. Watu wema bado wapo. Sema sasa watu nao wakioataga madaraka wanabadilika mno aisee... na wanakua tayari kulinda vyeo vyao kivyovyote.vile.. hope u wont change
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
WoowHuyu mwamba hana makuu na watu, ila tayari anashakula teuzi anakula mema ya nchi katika awamu ya sita, awamu ya tano ilimtenga kidogo.
Aah wapii, atakula nayetaka kumtunuku tu si kirahisi hivyoMbele ya nyimbo La Isla Bonita ya Madonna unalika kiulaini tu, kama UVCCM wameweza mimi nitashindwa vipi? [emoji28][emoji28]
Kwanini ulazimisha wawe mataga unafikiri hao ma ofisa ni malaika wana mauchafu yao mengi ndio maana wanaishia kupelekwa kuwa ma FO, usiwakingie kifua kwa kuwa una mwanamme kule 😅😅😅Woow
Mungu ni mwema sana.
Hata wewe mkuu, u are very humbled. Nikakuhukumu kwa huu uzi nitakua ninekukosea sana. Kila.mtu ana namna ya kupunguza hasira zake. Wanawake tunaishi sana kwakua tukikasirika tunabongaaa[emoji23] inatusaidia sana aisee. Nyie ni ngumu sana. Wanaume huwa si waongeaji. Ijapokua wapo wenye gubu..wewe yawezekana si muingeaji ila ukaona kwkaua kuna hii platform acha uje utolee uvivu hapa. And it made u feel better. Mengine hapa tunachat ni masikhara tu mkuu na kusogeza muda. Ila achana na hao mataga[emoji23] kama una bastola fanya kama zakaria. Ila usijepelekwa kituoni ukabadilishiwa majina aisee[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]idara inadhalilishwa mkuuu upo kimyaOBJECTION
Umeona sasa kumbe hujatulia hata, wewe ni bure kabisa 😅😅😅Aah wapii, atakula nayetaka kumtunuku tu si kirahisi hivyo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nimekuambia si kila.kitu uchukulie serious. Hakuna mahali pakawa perfect aisee. Wapo wachafu. Halaf unanipaje wanaume wa hii idara aisee. Watu wanakulana depo kama wanyama. Hebu acha kunikosea mkuuKwanini ulazimisha wawe mataga unafikiri hao ma ofisa ni malaika wana mauchafu yao mengi ndio maana wanaishia kupelekwa kuwa ma FO, usiwakingie kifua kwa kuwa una mwanamme kule [emoji28][emoji28][emoji28]
Wewe ndiye uliyeona kwamba unaweza nipata ukitaka. Nami nimekujibu na nakujibu tena, hii siyo public pastry. Hili siyo donat kila mtu ale kwa access yake. I can be all gang but ikija kwenye mali yangu hapana. Mkeo ndo umkanye umeilipia.Umeona sasa kumbe hujatulia hata, wewe ni bure kabisa [emoji28][emoji28][emoji28]
Ulimbukeni na kutaka pisi za maselaNimekaa nikajiuliza sana kwanini watumishi wengi wa idara nyeti (wengi mtakuwa mmenisoma na maanisha nini), watu hawa ukiangalia kazi wanayofanya na maisha yao mtaani ni vitu viwili tofouti kabisa maana vijana hawa wamejawa na tamaa hadi kufikia kutapeli watu hovyo mtaani kwa kigezo cha kufanya kazi katika taasisi nyeti hiyo na bila aibu wamekuwa wakionesha vitambulisho vyao hovyo kwenye kumbi za starehe pindi wakilewa.
Swali langu kwa viongozi wa taasisi hii nyeti, Kama mtumishi wa idara hii anaweza kuwatapeli watanzania wenzake, je akikutana na watu wa nchi nyingine ambapo ilitokea akalambishwa dollar je mna uhakika gani mtu huyuhuyu ambaye anaweza kujianika mbele ya wahudumu wa baa kuwa hawezi kuuza siri za nchi kwa thamani ya vipande vya fedha?
Au taasisi hii nyeti inaruhusu watumishi wake kufanya dhuluma kwa watanzania kwa kigezo cha kufanya kazi huko?
Ombi, langu kwa taaisisi hii nyeti wajitahidi kuwaboreshea maisha watumishi wao kuepuka aibu ndogo ndogo kama hizi maana vijana hawa hawa hawakawii kuuza siri za taifa hili kwa maadui kwa kigezo cha maslahi.
Huwa nakutana na vijana kutoka Ubalozi wa kenya, vijana ukikaa nao hata nature ya mazungumzo yao unaona kabisa idara yao ya NIS ilifanya kazi ya ziada ya kuwachuja na kuwa recruit, tofouti na hawa vijana wetu ambao tunawategemea kama taifa wao ni starehe na ulimbukeni usio na faida yoyote kwa taifa.
Thank you awesomely 🙏Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ukapate kupanda madaraja.. u are very humbled. Watu wema bado wapo. Sema sasa watu nao wakioataga madaraka wanabadilika mno aisee... na wanakua tayari kulinda vyeo vyao kivyovyote.vile.. hope u wont change
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
🤣🤣Hapana komredi wangu...Huyu mwamba hana makuu na watu, ila tayari anashakula teuzi anakula mema ya nchi katika awamu ya sita, awamu ya tano ilimtenga kidogo.
🤣🤣Woow
Mungu ni mwema sana.
Hata wewe mkuu, u are very humbled. Nikakuhukumu kwa huu uzi nitakua ninekukosea sana. Kila.mtu ana namna ya kupunguza hasira zake. Wanawake tunaishi sana kwakua tukikasirika tunabongaaa[emoji23] inatusaidia sana aisee. Nyie ni ngumu sana. Wanaume huwa si waongeaji. Ijapokua wapo wenye gubu..wewe yawezekana si muingeaji ila ukaona kwkaua kuna hii platform acha uje utolee uvivu hapa. And it made u feel better. Mengine hapa tunachat ni masikhara tu mkuu na kusogeza muda. Ila achana na hao mataga[emoji23] kama una bastola fanya kama zakaria. Ila usijepelekwa kituoni ukabadilishiwa majina aisee[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] aiseee..... kazi ipooo. Halooo.... ila fresh tu. Uzidi kuimarikaThank you awesomely [emoji120]
You too amen [emoji120]
Malezi ya utotoni huchangia TABIA ZETU UKUBWANI.....
All and all kuna watu huitwa "washamba smarts" [emoji1787][emoji1787]Hao huwa na tabu hata wasipokuwa na nafasi....balaa hutokea pale wanapokuwa na nafasi ha ha ha wengine tutatamani tuingie ardhini....hao wako "all walks of life"[emoji1787]
Ile.clip anapiga dana dana ofisini bana[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787]Hapana komredi wangu...
Unajua nini mkuu?!!!
Wanaonijua watakuambia....msimamo wangu juu ya CCM haubadiliki....niko "very active and loyal" toka awamu ya 4 na nitaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa uhai wangu.....mimi sijaletwa CCM kwa "upepo wa kisulisuli"[emoji1787][emoji1787]
Mimi ni CCM wa itikadi haswa na "flexible" na si kama kaka mkubwa Humphrey Polepole.....ha ha ha
Yap yap maisha ni safari komredi🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] aiseee..... kazi ipooo. Halooo.... ila fresh tu. Uzidi kuimarika
Ila.posho zitapunguzw mukizidi kuwa na michepuko mkuu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Ha ha ha haIle.clip anapiga dana dana ofisini bana[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app