Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

[emoji23][emoji23][emoji23] wakishalewa wanageuzana tu. Ila uanaume ni kazi ngumu sana....

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wakishalewa wanageuzana tu. Ila uanaume ni kazi ngumu sana....

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Acha tu.....tucheke kama mazuri....🤣🤣 Ha ha ha ha

Huko mabanda ya Komoni yaani jamaa ni full aibu....ni kweli hayo mambo yako duuh 🤣🤣

Dunia hii.....
 
Ccm hakuna itikadi tena, bali kila aliyepo ccm ana sababu zake binafsi sirini ni kwa nini yupo ccm, lakini kikubwa ni maslahi binafsi, upambe, connection na woga usiyokuwa na sababu, fear of unknown.

Hakuna Itikadi ccm.
 
Acha tu.....tucheke kama mazuri....[emoji1787][emoji1787] Ha ha ha ha

Huko mabanda ya Komoni yaani jamaa ni full aibu....ni kweli hayo mambo yako duuh [emoji1787][emoji1787]

Dunia hii.....
Yaani inauma tumemzika kijana juzi kwa huo ugonjwa jamani. Ndo ugonjwa kwa mara ha kwanza nausikia. Hizi pombe hapana[emoji119]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Yaani inauma tumemzika kijana juzi kwa huo ugonjwa jamani. Ndo ugonjwa kwa mara ha kwanza nausikia. Hizi pombe hapana[emoji119]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
It's havoc....

Inaumiza mno......

Jamaa ni kweli kabisa wanapelekeana "moto"....

Kuna UBANDA mmoja ukutani wameuandika "kunywa kwa tahadhari ,linda "mat ...o" yako 🤣🤣🤣🤣Hatareeeee
 
Ccm hakuna itikadi tena, bali kila aliyepo ccm ana sababu zake binafsi sirini ni kwa nini yupo ccm, lakini kikubwa ni maslahi binafsi, upambe, connection na woga usiyokuwa na sababu, fear of unknown.

Hakuna Itikadi ccm.
Duuuh 😲😲 mkuu kwa kuwa UMEONGEA KWA HISIA ZAKO mimi nitakueleza UHALISIA upi tena?!!!

CCM ni chama.....kimepitia mengi...kitapitia mengi.....ila bado KINAWAKILISHA MALENGO NA MASLAHI YA WATANZANIA WALIO WENGI MASIKINI.....

Moja ni amani na utulivu....

Ni CCM hiyohiyo iliyo madarakani toka 1977....kama imefanya MABAYA...basi pia huwezi kuitenga na MAZURI ILIYOIPATIA TAIFA HILI.....
 
Tatzo ni kwamba siku hizi wanaajari bila kufuata taratibu. Matokeo ya kurithishana wanawapa kazi hizo hata vilaza wasiojua utaratibu wa kazi
 
Acha uongo diwan hajawah kufanya kazi katavi
 
Matola maneno mengi kumbe famba tu.
Naona ameamua kukupumzikia mtu ambaye amewahi kua demoted na kuoa Ras katavi ni yule aliyekua kamishna wa mafunzo na operation ya polisi Tanzania
 
It's havoc....

Inaumiza mno......

Jamaa ni kweli kabisa wanapelekeana "moto"....

Kuna UBANDA mmoja ukutani wameuandika "kunywa kwa tahadhari ,linda "mat ...o" yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatareeeee
Yaani inaumaaa.. hilo la nyuma naambiwa lilitoka akalirudishia na mkono[emoji24]

Nduguze walimfata wakasema wanampeleka hospitali kumbe si kweli. Alienda pelekwa kwao huko kibamba mzaramo yule nyumba haina nlango wala dirisha mpaka umauti umemkuta[emoji174][emoji174] tuliumia mno kwann walitudanya jamani wanampeleka hospitali

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sasa huo ndio utaperi?.
 
Aiseeee duuuh 😪

Tatizo wanaamua kuifanya pombe kuwa THERAPY ya matatizo yao....ona sasa "la nyuma limetoka"....kapelekwa uzaramoni nyumba mbavu za mbwa saaalaaleee......

Jamaa zetu Wapare wanasema "mjini wewe yaangalie tu" 🤣🤣
 
.yaano... inaumizaa. Kutwa kubet tu. Haya madude ya mchina haya acha kbs. Ndo wanapatamo hela za pombe na betting

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
.yaano... inaumizaa. Kutwa kubet tu. Haya madude ya mchina haya acha kbs. Ndo wanapatamo hela za pombe na betting

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hakika....

"Mikeka" ni chumo kwao....

Huku uswazi wako na wale waokotao chupa....vyuma chakavu....saidia ufundi....wapagazi wa mizigo ya hapa na pale....yaani kweli MUNGU HATUBADILISHII HALI ZA MAISHA YETU HADI PALE TUNAPOTAKA KUBADILIKA.....

Kuna siku nilimuokoa mmoja kutopakwa "mafuta".....

Ilikuwa usiku wa manane ninatoka mishemishe zangu mjini nikapitia chochoro huku nje ya mji....lahaula nawakuta wamba wanajiandaa KUMUWAMBA mwenzao aliye hoi kwa bwax....uzuri wake mmoja ananifahamu...."ukitaa na undewa wangu" ukamsaidia jamaa kutoingizwa katika "nakama" daah it's horrible.....
 
Nikiwaweka wazi wewe itakusaidia nini?
Wewe umekuja na maelezo ya utaperi. Watu wamekuomba useme walichokutaperi. Umegeuza lugha unakuja na maelezo ya mkeo kuombwa mbususu. Wewe ndio umetutaperi hapo
 
Hivi kwa nini huwa mnadhani umaskini ni sifa?

Hii lugha ya kijinga "wanyonge na maskini" alikuwa akiipenda sana yule mwehu kuitumia.

Kama ccm ni chama cha wanyonge na maskini basi hamuwezi kuondowa umaskini kwa sababu ndio sera yenu na mtaji wenu.
 
Wewe umekuja na maelezo ya utaperi. Watu wamekuomba useme walichokutaperi. Umegeuza lugha unakuja na maelezo ya mkeo kuombwa mbususu. Wewe ndio umetutaperi hapo
🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…