miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23] wakishalewa wanageuzana tu. Ila uanaume ni kazi ngumu sana....Yap yap maisha ni safari komredi[emoji1787][emoji1787]
Kuhusu michepuko ni hulka tu mkuu wangu....huku kitaa wako "Wana" saidia fundi ujenzi....jioni wakipewa kifuta jasho kiduchu huiongeza tu "michepuko katika mabanda ya Komoni" [emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app