Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Wewe si dume wewe?! Huna hata haya!
 
Hata waliomo humo bado ni matapeli kwelikweli yaani halafu ni washamba hasa wakiona mwanamke mweupe, kuna mmoja huo nimemkamatia gari yake hadi atakapo rejesha pesa. Uongo mbaya wanatia aibu sana hawa vijana wa Diwani
Ona ulivyopagawa, kwakuwa demu uliyegongewa ni mweupe basi unaendelea na mechanism yako ya one size fit all. [emoji42][emoji42]
 
Usifikiri watu wote wanashida na kazi, wao ndio mishahara haiwatoshi wanatoka kuja kukopa mitaani next time tutawashukulia sheria kwa kuwalaza ndani wakose kuripoti huko kazini kwao
sasa kama ulikuwa na uwezo wa kuwapiga shaba na kuwalaza ndani kwanin ulete thread ya kuwalalamikia jf wakati una mamlaka/cheo/uwezo huo.

au ndo umekuja kukusanya maoni kwa kazi maalum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…