Woow
Mungu ni mwema sana.
Hata wewe mkuu, u are very humbled. Nikakuhukumu kwa huu uzi nitakua ninekukosea sana. Kila.mtu ana namna ya kupunguza hasira zake. Wanawake tunaishi sana kwakua tukikasirika tunabongaaa[emoji23] inatusaidia sana aisee. Nyie ni ngumu sana. Wanaume huwa si waongeaji. Ijapokua wapo wenye gubu..wewe yawezekana si muingeaji ila ukaona kwkaua kuna hii platform acha uje utolee uvivu hapa. And it made u feel better. Mengine hapa tunachat ni masikhara tu mkuu na kusogeza muda. Ila achana na hao mataga[emoji23] kama una bastola fanya kama zakaria. Ila usijepelekwa kituoni ukabadilishiwa majina aisee[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using
JamiiForums mobile app