Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Watanifanya nini mbona ni viumbe wa kawaida sana na nipo nao hapa napiga nao supu na uniform zao, karibu sana ila nikupe pongezi tu kwa kuolewa na mmoja wao [emoji28]
Unaona sasa ulivyo mjinga? Uniform za Maafisa usalama ni zipi?
 
TISS hawana siri za nchu, labda siri za CCM. hiyo idara ipo kwa ajili ya kuitumikia CCM tu na sio kulitumikia taifa.
Kapambaneni kudai katiba mpya, hilo siyo kosa la Tiss.

Mnataka mabadiliko huku mnaogopa kumwaga damu zenu nani alikudanganya mabadiriko yanapatikana bila sadaka ya damu?
 
Miss Pablo unataka kumtolea mahari komredi Nyboma?!!🤣🤣
Mzaha huu mtaalamu, huyu nikiamua namtoa kwa nguvu kwa jamaa yake atawatolea mahari viserengeti boys ambavyo huwa vina wapelekea moto pindi waume zao wakiwa kikazi.
 
See? Una ushamba bado..na haohao ndo wanamla mkeo. Pumbaf kbs. Usipokua makini nakuoa wewe[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Jinga kabisa wewe si unawaona hawa ni miungu ndio maana nikakujibu ni watu wa kawaida na niko nao nakunywa nao supu, halafu unang’ang’ania kuolewa inaonekana umeachika na unahitaji mtu nitakuunganisha na vijana usijali madam 😅
 
Mzaha huu mtaalamu, huyu nikiamua namtoa kwa nguvu kwa jamaa yake atawatolea mahari viserengeti boys ambavyo huwa vina wapelekea moto pindi waume zao wakiwa kikazi.
Sasa kumbe shida yangu ni ipi zaidi ya kupelekewa moto na hela zangu ninazo. Kama moto wako ni mkali nikuhonge[emoji23][emoji23] we mwenyewe kiserengeee ndo maana jamaa akamuibukia wife na pete zake za ndoa hapohapo ulipo ujue mjini kuna wanaume

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Jinga kabisa wewe si unawaona hawa ni miungu ndio maana nikakujibu ni watu wa kawaida na niko nao nakunywa nao supu, halafu unang’ang’ania kuolewa inaonekana umeachika na unahitaji mtu nitakuunganisha na vijana usijali madam [emoji28]
Weweew[emoji23][emoji23] nani kakuambiaaa. Wewe vijana mbele ya macho yako wanakutawala uko hapohapo. Nyie kuna vijana wnaa dharau[emoji23][emoji23] ama ulishindwa lipa bill mkuu? Walikuhurumia usije osha vyombo.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom