Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Wakristo wengi wanamwomba Mungu awape maarifa ya kutafuta Mali.Wengi wanafanikiwa; wakifanikiwa Tu wenzao uacha kumtukuza Mungu Kwa kumpa utajiri mwenzao badala yake umwita freemason.
Wachungaji wote waliofanikiwa nchini wanaitwa freemason. Wafanyabiashara nao freemason.
Je, Mungu wa wakristo hana nguvu yakutoa utajiri Hadi sifa na utukufu tumpelekee freemason? Je, hizi kebehi Kwa Mwenyenzi haziwezi kuwa chanzo cha umaskini Kwa wakristo wengi wanaokwenda kanisani.
Kwanini Mungu wa wakristo asitukuzwe anapowa Mali waja wake? Wakristo mnamkosea Sana Mungu; kila akitoa baraka mnamdhiaki na kumfananisha na miungu.
Jitafakarini Sana msiendelee kumchukuza Sir God
Jumapili njema
Wachungaji wote waliofanikiwa nchini wanaitwa freemason. Wafanyabiashara nao freemason.
Je, Mungu wa wakristo hana nguvu yakutoa utajiri Hadi sifa na utukufu tumpelekee freemason? Je, hizi kebehi Kwa Mwenyenzi haziwezi kuwa chanzo cha umaskini Kwa wakristo wengi wanaokwenda kanisani.
Kwanini Mungu wa wakristo asitukuzwe anapowa Mali waja wake? Wakristo mnamkosea Sana Mungu; kila akitoa baraka mnamdhiaki na kumfananisha na miungu.
Jitafakarini Sana msiendelee kumchukuza Sir God
Jumapili njema