Kwanini Wazanzibari hawalalamikii Mkataba wa DP world kuwatenga wasinufaike na wao!

Kwanini Wazanzibari hawalalamikii Mkataba wa DP world kuwatenga wasinufaike na wao!

Kama mkataba ungekuwa na manufaa hayo ambayo yanasemwa basi ni lazima ungezihusisha hadi bandari za kule Zanzibar. Mikopo tu ambayo tumekopa kutoka World Bank na kwingineko, Zanzibar wanatia mkono, hata kama ni kwenye masuala yasiyo ya Muungano.

Mfano, Tanganyika ilikopa Bilioni 600 kuendeleza miradi ya maji (Jambo ambalo siyo la muungano), lakini kinachoshangaza ni pale ambapo nusu ya pesa hizo zilipelekwa Zanzibar huku deni likionekana ni Tanganyika. Kama bandari ingekuwa na hayo manufaa yanayodaiwa, basi lazima wazanzibar wangetaka wahusishwe..

Wenyewe wanasema ni halali kinachofanywa na Raisi Samia kwasababu sisi tumepokonya uhuru wao kwa miaka mingi. Tumewanyang'anya utaifa wao, sarafu yao na uwakilishi wao kimataifa, hivyo anachofanya Raisi Samia ni halali. Haya ni maneno ya Bwana Jusa.
tisi wanafakya kazi gani.. 🫤🫤
 
Wazanzibari wana mamlaka yao ya bandari huenda huu mkataba na wao wataingia baadae.

JokaKuu Nguruvi3 Kalamu Pascal Mayalla zitto junior
Mkuu 'Proved', na mleta mada mkuu 'Mag3, jibu langu kwenu ni hili: kwamba Zanzibar ni mnufaika, awemo au asiwemo ndani ya mkataba huo.

Mavuno yote yanayotokana na shamba la bibi Tanganyika, kama hayo mkuu Mag3 aliyoyanukuu toka ndani ya maandishi ya makubaliano yataingia Zanzibar, bila ya Zanzibar kuwa mshiriki katika mkataba huo, hili lipo wazi kabisa.

Sasa basi, kama kuna athari zozote zinazoambatana na masharti ya mkataba huo, ya nini Zanzibar ajitumbukize kwenye 'risk' hiyo isiyokuwa na lazima yoyote?

Zanzibar na washirika wake, akina UAE na makampuni yao haya, sasa wanaimarisha kuitawala vizuri zaidi Tanganyika. Zanzibar ni mbia, au tuseme ni mwezeshaji wa mpango huo wa kuitawala Tanganyika na kuvuna wanavyotaka.

Muungano ulio assisiwa haukuwa na lengo hili, lakini bila ya kujitambua, CCM sasa wametufikisha huko kwa lazima.
 
Duh! Tsh. 300,000,000,000 kwa watu chini ya milioni mbili ambazo kwa hesabu za haraka ni zaidi ya Tsh. 150,000 kwa kila Mzanzibar pamoja na vibabu na vitukuu! Hizi hela zote wazanzibar wanazipeleka wapi hadi wasamehewe umeme?
Hili la Zanzibar kukopa ikitumia jina la Tanganyika, ndugu yangu JokaKuu alikuwa ni moja kati ya watanganyika wachache humu ndani waliopiga makelele kusema, ila nakumbuka alibezwa sana kwamba anamchafua mama. Wengine walidiriki kusema kwamba heri mama kuliko Raisi Magufuli, hivyo tumvumilie. Sasa mnaipata, na huu ni mwanzo tu..
 
tisi wanafakya kazi gani.. 🫤🫤
TISS is a caboodle of Swindlers and a consigliere of crime. Depending on TISS is akin to labouring in futility. They couldn't prevent the fifth column from infiltrating the oval office and auctioning our country in a bazaar of barbarians, for a meagre price next to free. Worse enough some of them are said to be in a pay-roll of this Arabian Mullahs and Ayatollahs.
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Majibu haya hapa msikilize mzalendo mbalawa
 

Attachments

  • WAZIRI MBARAWA - 'BANDARI ya ZANZIBAR WALISHASAINI MKATABA SIKU NYINGI', AWA.mp4
    18.7 MB
Mkuu 'Proved', na mleta mada mkuu 'Mag3, jibu langu kwenu ni hili: kwamba Zanzibar ni mnufaika, awemo au asiwemo ndani ya mkataba huo.
Chetu changu, changu changu...ni vigumu kuelewa kwa nini Watanganyika wako rahisi kudangayika bila kushtuka.
Muungano ulio assisiwa haukuwa na lengo hili, lakini bila ya kujitambua, CCM sasa wametufikisha huko kwa lazima.
the arab and his camel.jpg
Yanikumbusha hadithi ya muarabu na ngamia wake...
 
Suala la DP World ya Waarabu wa Dubai kuwekeza katika bandari zetu linadaiwa kuwa na faida nyingi sana kwetu kama Taifa.

Inadaiwa mkataba utachagiza na kuchochea ukuaji wa sekta nyingine za kiuchumi (multiple effect) zikiwemo kilimo, utalii, viwanda, mifugo, uvuvi, biashara na usafirishaji na hivyo kuboresha ustawi wa Watanzania kwa ujumla.

Pia inadaiwa kuwa mkataba huu utaweka mifumo ya kisasa ya TEHAMA inayohitajika na TPA.

Zaidi ya hapo mkataba huu unadaiwa utawezesha huduma za TPA kuwa bora na zenye ufanisi wa kuridhisha na zilizo wazi kwa Watanzania na wadau, katika uendeshaji wa bandari za Tanzania.

Na kadhalika...


Mkataba huu pamoja na kupingwa na idadi kubwa ya Watangayika, unaonekana kuungwa mkono karibu na asilimia 100% ya Wazanzibar

Swali: Kwa nini hakuna Mzanzibari hata moja anayelalamikia kitendo cha Mkataba huu wa DP World ya Waarabu wa Dubai kuwatenga wasinufaike na wao?
Wanajua ni matapeli tupu hakuna uwekezaji pale
 
Mkuu 'Proved', na mleta mada mkuu 'Mag3, jibu langu kwenu ni hili: kwamba Zanzibar ni mnufaika, awemo au asiwemo ndani ya mkataba huo.

Mavuno yote yanayotokana na shamba la bibi Tanganyika, kama hayo mkuu Mag3 aliyoyanukuu toka ndani ya maandishi ya makubaliano yataingia Zanzibar, bila ya Zanzibar kuwa mshiriki katika mkataba huo, hili lipo wazi kabisa.

Sasa basi, kama kuna athari zozote zinazoambatana na masharti ya mkataba huo, ya nini Zanzibar ajitumbukize kwenye 'risk' hiyo isiyokuwa na lazima yoyote?

Zanzibar na washirika wake, akina UAE na makampuni yao haya, sasa wanaimarisha kuitawala vizuri zaidi Tanganyika. Zanzibar ni mbia, au tuseme ni mwezeshaji wa mpango huo wa kuitawala Tanganyika na kuvuna wanavyotaka.

Muungano ulio assisiwa haukuwa na lengo hili, lakini bila ya kujitambua, CCM sasa wametufikisha huko kwa lazima.
Uvunjwe haraka huu muungano wa hovyo
 
Majibu haya hapa msikilize mzalendo mbalawa
Ha ha haaa...! What a joke! Hivi mnatuchukuliaje sisi Watanganyika? Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya taifa hili, sijaona mwamko kama ninaoushuhudia hii leo!
 
Unajua wanakuja kuwekeza nini kwenye bandari na maeneo gani hasa wanapewa mikataba
Au unakuja kukokona tu humu, ili mradi umesema kitu
 
Hiyo ni sababu tosha kwamba serikali ya Tanganyika kwa sasa inaongozwa na mkoloni, aliyeamua kuchuma Tanganyika na kupeleka faida kwao.
 
Hujaelewa swali Ileje. Swali ni kuwa tumeambiwa manufaa ni makubwa sana kufanya kazi na wadubai hawa....sasa kama ni hivyo kwanini wazenji wao hawapigi kelele ili na wao waingizwe kwenye manufaa tunayoambiwa yapo?
kwani bandari za zenji si zilishakodishwa tayari?
 
Hujaelewa swali Ileje. Swali ni kuwa tumeambiwa manufaa ni makubwa sana kufanya kazi na wadubai hawa....sasa kama ni hivyo kwanini wazenji wao hawapigi kelele ili na wao waingizwe kwenye manufaa tunayoambiwa yapo?
Nilimsikia Rais Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar kuwa bandari za Zanzibar hazimo tena chini ya Muungano kutokana na sheria mpya waliyotunga na kwamba bandari za Zanzibar zitaendelezwa kwa utaratibu tofauti.
 
Kwa hiyo Watanzania wanaodaiwa kutokuwa na uadilifu wa kusimamia uendeshaji wa chao chombo kama Bandari kwa maneno mengine ni Watanganyika tu.

Kwa maana nyingine huu mkataba ni katika jitihada ya kuwakomboa Watanganyika ambao wamekosa sifa na uwezo wa kujiendeleza wakiachwa peke yao.
Sahihi kabisa na ndiyo sababu Rais Samia ameamua kuwapa wajomba zake wamiliki na kuendesha bandari za Tanganyika na si za Zanzibar.
 
Wazanzibari wana mamlaka yao ya bandari huenda huu mkataba na wao wataingia baadae.

JokaKuu Nguruvi3 Kalamu Pascal Mayalla zitto junior
Lakini Bandari ni suala la muungano kwa mujibu wa mkataba wa muungano. Hapa ndipo hoja inakuja, huu mkataba wa Tanzania , ni upi huo? Kwanini usiwe mkataba wa Tanganyika? Na hapa ndipo tunauliza role ya Rais SSH kama rais wa JMT ni ipi? Na kwanini board za bandari za bara zina Wazanzibar na hata nafasi za kazi zinatolewa kwa kuzingatia Uzanzibar. Ni kwanini Wabunge wa Zanzibar ndani ya Bunge la JMT walikwenda Dubai katika ile kamati ya watu 30? Hawa walimwakilisha nani ikiwa suala zima ni la Watanganyika.

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Bandari siyo jambo la Muungano sasa walalamika nini kwa nani?

Pili wao Wamemkodishia Bandari yao kwa Ramaphosa huko SA
Umeelewa mada iliyoletwa na OP?

Kwanini waZanzibar nao hawaja wakaribisha DP world kama kweli nia ni kuongeza efficiency ya bandari yetu? Wakati huohuo changamoto tulizonazo sisi hazipishani na walizonazo wao.

Ishu ya kulallamika ni wazi hawawezi kulalamika kwasababu mkakataba hauwahusu.
 
Back
Top Bottom