Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweza kabisa kumpa maana wan Dharau na wala hawafanyi hivyo kwa maslahi ya Nchi bali wao ma vikundi vyao vinavyowapa nguvu ya kufanya hivyo.Sahihi kabisa
Sijajua kinachoendelea Chamani ila nimepata za kunyapia nyapia kama Wasemavyo Shilawadu eti Former RC wanataka awe PM ama mwenza Mwakani baada ya huyu aliyepo eti kusema hajachangamka jukwaani
Yaani pamoja na Vurugu zake zote zile wampe dhamana kubwa hivyo utasema wamekosa Viongozi wenye hekima zao
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawalaHuku Zanzibar kuna mgawanyiko mkubwa kisiasa. Mzee Mwinyi anafanya vizuri sana kuleta maendeleo lakini hakubaliki. Baadhi ya factors zinazofanya asikubalike ni hizi hapa.
1. Siyo Mzanzibari
2. Anadaiwa kudharau kila kiongozi aliyepo chini yake
3. Anawafokea na kuwanyanyapaa viongozi wenzake hata wale wanaomzidi umri
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo
Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na Lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na tume ya uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja
watupe mkuranga wetu tuwape huyu nasisi mmmhAtuache tule tende yakhe, mambo ya mpera mpera kuvuja jasho hatujazoea sie! Ushan'fahamu?
Wazenji wamezoea kubembelezwa!hawajazoea mpelampela!sasa mwamba anawakimbiza mchakamchaka ndo maana hawamkubali!waturudishie bara tu kama hawamtaki!Huku Zanzibar kuna mgawanyiko mkubwa kisiasa. Mzee Mwinyi anafanya vizuri sana kuleta maendeleo lakini hakubaliki. Baadhi ya factors zinazofanya asikubalike ni hizi hapa.
1. Siyo Mzanzibari
2. Anadaiwa kudharau kila kiongozi aliyepo chini yake
3. Anawafokea na kuwanyanyapaa viongozi wenzake hata wale wanaomzidi umri
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo
Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
Ni sahihi. Watupe huyo wamchukue Bibi wa Kizimkazi.Kama hawamtaki watugee sie waone tutakavyomtumia, ni kawaida yetu binadamu kupuuza jambo mpaka likuponyoke.
Mwinyi ni Rais mwenye sifa na vigezo.
Acha blah blah wewe. Wapi kwenye uislamu wamekataza pombe? Sasa kama wamekataza pombe, hiyo mito ya pombe ahera ni ya nini?Kumshutumu waziri kwa kupungua kwa pombe zanzibar ni sawa na kuwashutumu mashekh kwa kutoleta pombe msikitini. Wacha wamchukie.maana analeta uzungu na uasherati kwa wafia uislam.
Inaonekana kaenda kuvuruga utamaduni wa wazanzibar
Mm napinga dpw maisha.ila simpingi mama samia ni bahati hii bonge la rais
Hili akina sisi tumelitolea ushauri hapa kwenye HII kwa uchaguzi wa 2025 kwa Zanzibar, kama haki bin haki itatendeka, then rais ni OMO!.Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
hii ndiyo sababu kuu, siyo mzenji 'kindakindaki'1. Siyo Mzanzibari
Siasa haina akili, Zanzibar inatawaliwa na Raisi Mbongo, Tanganyika inatawaliwa na Mzanzibari, Watanganyika wanamkataa Mzanzibari kuwa Raisi wao. Na Wazanzibari wanamkataa Mtanganyika kuwa Raisi wao.
Hii ndio kuna yule jamaa hapa JF anasema "Job true-true"
Mfumo wa urojoMfumo wake umemsaidia sana kuachana na lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
Yule Askari aliesema kuna watu wana nyadhifa za juu sio raia wa Tanzania. Alikuwa mzanzibari nae?.Wazanzibari wamejawa na fikra za kibaguzi. UbaguI huu upo mpk kwenye katiba yao. Katiba inaupa nguvu ubaguzi kwa uwaziri kabisa kwamba " ili mtu agombee uongozi lazima awe mzanzibari, na awe ameishi Zanzibar mfululizo kwa miaka 5 kuelekea uchaguzi husika".
Kwahiyo kuwa mzanzibari tu haitoshi. Ni lazima mtu awe ameishi kwa miaka 5 mfululizo huko Zanzibar..
Kwahiyo Dr. Mwinyi kubaguliwa, haishangazi.
No wanda v u take it seriusNo wonder hata kuandika tu ni shida.....!!
Hawajui mpaka wajue ni muda umeisha akitoka akaingia mwingine watamtaka arudi aendelee alipoishia ndio binadamu tusubiri tuvuke 2030samia ni bahati hii bonge la rais
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha.........Acha blah blah wewe. Wapi kwenye uislamu wamekataza pombe? Sasa kama wamekataza pombe, hiyo mito ya pombe ahera ni ya nini?
Wazanzibari ni wabaguzi sana na mimi nashangaa ata watu ambao wanamsifia Samia.1. Ubaguzi
2. Ubaguzi
3. Ubaguzi
[emoji706][emoji706][emoji706]