Kwanini Wazanzibari wanampiga vita Rais Hussein Mwinyi?

Kwanini Wazanzibari wanampiga vita Rais Hussein Mwinyi?

NINA JIRANI ZANGU PIA KINA MAMA MMANGA FAKI, HAJI DUNI, ABED MAKAME, ASHUU MBETO NA BI ZANIA MFANGAKUNGU NILIWASKIA WAKISEMA MWINYI NI WAO WAMPENDA NA WASHAMRIDHIA, WATU WA BARA MSHAWAFAHAMU'e
 
Sahihi kabisa

Sijajua kinachoendelea Chamani ila nimepata za kunyapia nyapia kama Wasemavyo Shilawadu eti Former RC wanataka awe PM ama mwenza Mwakani baada ya huyu aliyepo eti kusema hajachangamka jukwaani

Yaani pamoja na Vurugu zake zote zile wampe dhamana kubwa hivyo utasema wamekosa Viongozi wenye hekima zao
Wanaweza kabisa kumpa maana wan Dharau na wala hawafanyi hivyo kwa maslahi ya Nchi bali wao ma vikundi vyao vinavyowapa nguvu ya kufanya hivyo.
 
Huku Zanzibar kuna mgawanyiko mkubwa kisiasa. Mzee Mwinyi anafanya vizuri sana kuleta maendeleo lakini hakubaliki. Baadhi ya factors zinazofanya asikubalike ni hizi hapa.

1. Siyo Mzanzibari
2. Anadaiwa kudharau kila kiongozi aliyepo chini yake
3. Anawafokea na kuwanyanyapaa viongozi wenzake hata wale wanaomzidi umri
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo

Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na Lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na tume ya uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo[emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu namuona Rais Mwinyi kama Rais a;iyeibadilisha Zanzibar kimaendeleo, kiuchumi na ameziba mianya yote ya upigaji hela. Sote tumuunge Rais Mwinyi.
 
Huku Zanzibar kuna mgawanyiko mkubwa kisiasa. Mzee Mwinyi anafanya vizuri sana kuleta maendeleo lakini hakubaliki. Baadhi ya factors zinazofanya asikubalike ni hizi hapa.

1. Siyo Mzanzibari
2. Anadaiwa kudharau kila kiongozi aliyepo chini yake
3. Anawafokea na kuwanyanyapaa viongozi wenzake hata wale wanaomzidi umri
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo

Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
Wazenji wamezoea kubembelezwa!hawajazoea mpelampela!sasa mwamba anawakimbiza mchakamchaka ndo maana hawamkubali!waturudishie bara tu kama hawamtaki!
 
Kumshutumu waziri kwa kupungua kwa pombe zanzibar ni sawa na kuwashutumu mashekh kwa kutoleta pombe msikitini. Wacha wamchukie.maana analeta uzungu na uasherati kwa wafia uislam.
Inaonekana kaenda kuvuruga utamaduni wa wazanzibar
 
Kumshutumu waziri kwa kupungua kwa pombe zanzibar ni sawa na kuwashutumu mashekh kwa kutoleta pombe msikitini. Wacha wamchukie.maana analeta uzungu na uasherati kwa wafia uislam.
Inaonekana kaenda kuvuruga utamaduni wa wazanzibar
Acha blah blah wewe. Wapi kwenye uislamu wamekataza pombe? Sasa kama wamekataza pombe, hiyo mito ya pombe ahera ni ya nini?
 
Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
Hili akina sisi tumelitolea ushauri hapa kwenye HII kwa uchaguzi wa 2025 kwa Zanzibar, kama haki bin haki itatendeka, then rais ni OMO!.
P
 
Siasa haina akili, Zanzibar inatawaliwa na Raisi Mbongo, Tanganyika inatawaliwa na Mzanzibari, Watanganyika wanamkataa Mzanzibari kuwa Raisi wao. Na Wazanzibari wanamkataa Mtanganyika kuwa Raisi wao.

Hii ndio kuna yule jamaa hapa JF anasema "Job true-true"

Kazi ipo
 
Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
Mfumo wa urojo
 
Wazanzibari wamejawa na fikra za kibaguzi. UbaguI huu upo mpk kwenye katiba yao. Katiba inaupa nguvu ubaguzi kwa uwaziri kabisa kwamba " ili mtu agombee uongozi lazima awe mzanzibari, na awe ameishi Zanzibar mfululizo kwa miaka 5 kuelekea uchaguzi husika".

Kwahiyo kuwa mzanzibari tu haitoshi. Ni lazima mtu awe ameishi kwa miaka 5 mfululizo huko Zanzibar..

Kwahiyo Dr. Mwinyi kubaguliwa, haishangazi.
Yule Askari aliesema kuna watu wana nyadhifa za juu sio raia wa Tanzania. Alikuwa mzanzibari nae?.
 
Back
Top Bottom