Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Uzi bila picha ya afande rama haunogi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman jaaman jamani dahHujifanya Wana lafudhi za kiarabu ilihali weusi kama Mimi!!
Dah jman jamanNa wanawaminya Hadi watoto visogo ili mradi tu wavae baraghashia na ziwakae vizuri waonekane Kama waarabu.
Jamaa Wana utumwa mbaya Sana vichwani mwao.
Unambinyaje mtoto kisogo Hadi anakuwa taaahira eti I'll mradi tu kichwa kisiwe Kama mbantu mwenye chogo!!?
vilikuwa na wavuvi wachache ambao waliitwa watumbatu. utumwa wa mwarabu ulipokuja ndio ulisambaza wabantu hadi commoro, reunion na mauritious nkKabla ya watumwa kutoka Congo kupelekwa Zanzibar ni watu gani walikuwa wakiishi huko? Waarabu walikuta wenyeji au visiwa havikuwa na watu?
Haswaa wazanzibari wanajishaua...wanajishaua mpaka kuongea kwa kuongea kama warabuKujishaua tu ingali kufa kupo palepale hata uwe mtaiwan
Hovyo sana wazanzibariWengi asili yao kigoma,Morogoro huko n.k ila wanajikuta Waarabu [emoji23][emoji1787][emoji1787]wengine weusi tii
Yes,na pia forced marriages. Hicho ndicho kilichofanya watu wengi wenye asili tofauti kukimbilia bara kupitia Bagamoyo na wengine nchi za nje kama kina Abdulrazak Gurnah.ilikua ni amri baada ya mapinduzi kuwaingilia wanawake wa kiarabu
Hili swali .. umemaliza!Kabla ya watumwa kutoka Congo kupelekwa Zanzibar ni watu gani walikuwa wakiishi huko? Waarabu walikuta wenyeji au visiwa havikuwa na watu?