Kwanini Wazanzibari wengi wanachukia asili yao ya asili ya Congo na Burundi wanaprefer kuonekana waarabu ilhali waarabu wanawakataa?

Kwanini Wazanzibari wengi wanachukia asili yao ya asili ya Congo na Burundi wanaprefer kuonekana waarabu ilhali waarabu wanawakataa?

Ubaguzi ni moja ya asili ya waarabu ambao wame watawala wale, hiyo tabia ya ubaguzi walibaki nayo na wanaishi nayo hadi kesho kutwa lakini kiukweli waliojaa kwenye kile kimji wametokea congo wamanyema wakiongozwa na wabembe
 
Hivi kwanini wazanzibari wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli wakijiangalia kwenye kioo wanajiona ni waarabu?

Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu ni ngumu sana muarabu kumuozesha bibtiye kwa mzanzibari,

Jata kama ni chotara mwenye nywele zilizojiviriga na nfozi ya brown wakienda uarabuni huitwa waafrika na kubaguliwa, Kuna baadhi ya wasimamizi wa mashamba ya karafuu waliingilia watumwa wa kiafrika na watoto kuwa machotara lakini ajabu ni kwamba wanakataa kabisa asili ya mama zao, kwanini ? hulazimisha kuwa sehemu ya waarabu wasiowatambua kuwa ni waarabu kwanini ?

Imepelekea hata wanawake wengi sana kutumia vipodozi vingi kujaribu kuipata rangi ya kiarabu, kuna maada pia ipo humu ndani kwamba kuna utamaduni wa kuwalaza watoto vichwa kwenye kibao kigumu ili kichwa kisiwe na kisogo
Wazenji wameathirika kisaikolojia na hawatapona.
Kwa mfano wazenji hawajui kukaa bila mtu mwenye ngozi japo nyeupe nyeupe pembeni hata kama ni teja mla unga tu, atawekwa kama pambo pembeni ya Rais.

Angalia vizuri vizuri vikao vyote na ziara za Marais halafu utanipa jibu.
Hata kikazi hawajiamini hadi wamuone MWARABU au MUHINDI, wako radhi kuwakabidhi mali zao zote kwa Waarabu au Wahindi ili wao wagaiwe kidogo chakula na hao hao. Mzenji ni hatari sana kuongoza taifa Baba La AFRCA kama Tanzania kwa sababu hajiamini. Wao ngozi nyeusi hawavumilii wanaichukia, Mzanzibari kamwe hafanyi kazi na mtu mweusi pembeni, wanaamini wana laana.
 
Na wanawaminya Hadi watoto visogo ili mradi tu wavae baraghashia na ziwakae vizuri waonekane Kama waarabu.

Jamaa Wana utumwa mbaya Sana vichwani mwao.

Unambinyaje mtoto kisogo Hadi anakuwa taaahira eti I'll mradi tu kichwa kisiwe Kama mbantu mwenye chogo!!?
Nawajua Wazanzibari wengi waliominywa kisogo kwa nyuma ili kichwa kiwe kama cha Mwarabu, matokeo yake wanazidisha hadi kichwa kinaonekana kama Panga, wengi huwa fyatu kidogo, yaani wananuna ovyo kizenji au huwa wakimya visivyo kawaida. Mzenji ameathirika, hawezi pia kukaa au kufanya kazi na mtu mweusi mwenzake, anatamani hata kama ni mwafrika basi hapo awe mweupe mweupe kama Mwigulu hivi
 
Binafsi mimi sipendi rangi nyeupe kabisa kabisa.
Waafrika tulipewa rangi nzuri sana, rangi nyeusi.
Eti Waafrika wakienda Ulaya na kuitwa Black man wanasema wamebaguliwa.

Sasa sijui kwamba wanataka waitwe whiteman.
Sio kila cheupe ni kizuri.
Nyani anakalia tako cheupe sana.

Ukienda Ulaya na Asia unakuta rangi Nyeupe tupu hadi zinatia kinyaa.

Ukija Afrika utawakuta watu weusi mtamu sana.
Kuna Waafrika weupe. Wanjano. Wa hudhurungi, yaani wa rangi zote.

Poleni sana sana sana.
 
Binafsi mimi sipendi rangi nyeupe kabisa kabisa.
Waafrika tulipewa rangi nzuri sana, rangi nyeusi.
Eti Waafrika wakienda Ulaya na kuitwa Black man wanasema wamebaguliwa.

Sasa sijui kwamba wanataka waitwe whiteman.
Sio kila cheupe ni kizuri.
Nyani anakalia tako cheupe sana.

Ukienda Ulaya na Asia unakuta rangi Nyeupe tupu hadi zinatia kinyaa.

Ukija Afrika utawakuta watu weusi mtamu sana.
Kuna Waafrika weupe. Wanjano. Wa hudhurungi, yaani wa rangi zote.

Poleni sana sana sana.
Hata baadh ya viongozi wanokuja Tanganyika tokea Zenj hujitia mkorogo ili kidogo wasifanane na nyie, japo wawe weupe kiduchu, angalia mabaka yao usoni japo wengine kweli ni wanaupinde
 
Wazanzibar asilimia kubwa ni wasukuma
Hata sisi Wacomoro tunajua asil yetu ni TZ na Congo na tunahivunia.
Wazenji wameathirika wao hubana puwa, hujitia mkorogo na kujiita Washirazi kabila, eti wanatokea mashariki ya kati. Pole sana Africa 🤣🤣🤣
 
KWAO MWARABU NI MTU WA KWANZA, HIVYO WANATAFUTA KUFANANA KAMA WAO.
 
kuna video moja niliiona ticktok,jamaa mweusi anapambana kubusu kaaba,huku wanajeshi wa kulinda jiwe nao wamekomaa mnoo kumvuta.binafsi sikuwalaumu wanajeshi wale ila nilimsikitikia yule nigga kwa kuamini kwamba Mungu anamiliki jiwe lile na ana haki ya kulibusu sii kuzuiwa na mtu.
 
Hivi kwanini wazanzibari wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli wakijiangalia kwenye kioo wanajiona ni waarabu?

Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu ni ngumu sana muarabu kumuozesha bibtiye kwa mzanzibari,

Jata kama ni chotara mwenye nywele zilizojiviriga na nfozi ya brown wakienda uarabuni huitwa waafrika na kubaguliwa, Kuna baadhi ya wasimamizi wa mashamba ya karafuu waliingilia watumwa wa kiafrika na watoto kuwa machotara lakini ajabu ni kwamba wanakataa kabisa asili ya mama zao, kwanini ? hulazimisha kuwa sehemu ya waarabu wasiowatambua kuwa ni waarabu kwanini ?

Imepelekea hata wanawake wengi sana kutumia vipodozi vingi kujaribu kuipata rangi ya kiarabu, kuna maada pia ipo humu ndani kwamba kuna utamaduni wa kuwalaza watoto vichwa kwenye kibao kigumu ili kichwa kisiwe na kisogo
Ni kweli zanzibar mabikra wote hawana marinda?

adriz
 
Pamoja na kwamba Mtume wa Allah aliwadharau, hawasikii wala hawaelewi!

Mtume wa Allah akasema: “Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal.” Alikuwa mtu MWEUSI mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.
Sahih Muslim 5:2334

Nabii akasema, “Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi.”
Sahih Bukhari 1:11:664

Mtume akamwambia Abu-Dhar, “Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu.”
Ishaq: 450’’

Mtume akasema, “tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili.”
Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11

Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.
Ishaq: 374
 
Hivi kwanini wazanzibari wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli wakijiangalia kwenye kioo wanajiona ni waarabu?

Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu ni ngumu sana muarabu kumuozesha bibtiye kwa mzanzibari,

Jata kama ni chotara mwenye nywele zilizojiviriga na nfozi ya brown wakienda uarabuni huitwa waafrika na kubaguliwa, Kuna baadhi ya wasimamizi wa mashamba ya karafuu waliingilia watumwa wa kiafrika na watoto kuwa machotara lakini ajabu ni kwamba wanakataa kabisa asili ya mama zao, kwanini ? hulazimisha kuwa sehemu ya waarabu wasiowatambua kuwa ni waarabu kwanini ?

Imepelekea hata wanawake wengi sana kutumia vipodozi vingi kujaribu kuipata rangi ya kiarabu, kuna maada pia ipo humu ndani kwamba kuna utamaduni wa kuwalaza watoto vichwa kwenye kibao kigumu ili kichwa kisiwe na kisogo
Warundi,Wanyamwezi na Wangoni walio kuja Tanga kuwa manamba wote ni Wazigua na Wabondei hata kama wanaitwa Ngonyani au Ntibazonkiza.
 
Pamoja na kwamba Mtume wa Allah aliwadharau, hawasikii wala hawaelewi!

Mtume wa Allah akasema: “Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal.” Alikuwa mtu MWEUSI mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.
Sahih Muslim 5:2334

Nabii akasema, “Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi.”
Sahih Bukhari 1:11:664

Mtume akamwambia Abu-Dhar, “Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu.”
Ishaq: 450’’

Mtume akasema, “tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili.”
Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11

Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.
Ishaq: 374

Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana

LONDON: Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa: “Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.

Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu". Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake.

Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo.
"DAILY NEWS" 25/6/84
 
Pamoja na kwamba Mtume wa Allah aliwadharau, hawasikii wala hawaelewi!

Mtume wa Allah akasema: “Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal.” Alikuwa mtu MWEUSI mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.
Sahih Muslim 5:2334

Nabii akasema, “Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi.”
Sahih Bukhari 1:11:664

Mtume akamwambia Abu-Dhar, “Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu.”
Ishaq: 450’’

Mtume akasema, “tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili.”
Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11

Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.
Ishaq: 374


Mungu wenu ameshawatia roho wa kusema uongo kama biblia ilivyosema

1 Kings 22:23 "So now the LORD has put a lying spirit in the mouths of all these prophets of yours. The LORD has decreed disaster for you."

Mnaanza mnataka kuufunga huu uzi kama nyuzi nyengine mlizozifunga ?? kwa kuleta uongo tena

Hizo hadithi zote ulizoleta ni uongo mtupu

Sahih Muslim 5:23 34 'Ubida b. Samit reported that when wahi (inspiration) descended upon Allah's Messenger (ﷺ), he felt a burden on that account and the colour of his face underwent a change.

Sahih Bukhari 1:11:664

Narrated Anas bin Malik:
The Prophet (ﷺ) said to Abu-Dhar, "Listen and obey (your chief) even if he is an Ethiopian with a head like a raisin."

Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11
Ishaq: 374 Vitabu hivyo umevibuni wewe na kanisa lenu
 
Pamoja na kwamba Mtume wa Allah aliwadharau, hawasikii wala hawaelewi!

Mtume wa Allah akasema: “Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal.” Alikuwa mtu MWEUSI mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.
Sahih Muslim 5:2334

Nabii akasema, “Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi.”
Sahih Bukhari 1:11:664

Mtume akamwambia Abu-Dhar, “Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu.”
Ishaq: 450’’

Mtume akasema, “tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili.”
Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11

Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.
Ishaq: 374

Ni kipi kina thamani zaidi, mtumwa au mnyama?

Kutoka 23:12

"Siku sita fanya kazi yako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili ng'ombe wako na punda wako wapate kupumzika, na mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, na mgeni, wapate kuburudishwa." ." Tunaweza kuona wazi kutokana na aya hii kwamba mtumwa na mnyama wana thamani sawa. Mtumwa binadamu katika Biblia ni mnyama na si binadamu. Aya hii inawaweka wanyama na mtumwa katika kundi moja. Haiwatenganishi.

Fikiria yafuatayo kutoka katika kitabu cha Kutoka:

Kutoka 21:28

"Ng'ombe dume akimpiga mwanamume au mwanamke hata akafa, ng'ombe huyo atauawa kwa kupigwa mawe, na nyama yake isiliwe. Lakini mwenye ng'ombe huyo hatawajibika."

Kutoka 21:29

“Hata hivyo, ikiwa ng’ombe-dume amekuwa na zoea la kukata ng’ombe na mwenye kuonywa lakini hakumfunga, akamwua mwanamume au mwanamke, ng’ombe huyo lazima apigwe mawe na mmiliki pia lazima auawe."

Kutoka 21:31

"Sheria hii pia inatumika ikiwa fahali atampiga mwana au binti."

Kutoka 21:32

“Ng’ombe akimpiga mtumwa au mtumwa mwanamke, mwenye ng’ombe atampiga bwana wa mtumwa shekeli thelathini za fedha, na ng’ombe huyo atauawa kwa kupigwa mawe. )"


Kutoka 21:28

ng'ombe dume akimshinda mwanadamu wa kawaida, basi lazima auawe.

Pia,

Kutoka 21:29

humwadhibu mwenye nyumba kwa kutokomesha tabia ya ng’ombe-dume kwa kumpiga mawe hadi afe wakati fahali wake anaua binadamu wa kawaida.

Ona hata hivyo, kwamba katika Kutoka 21:32, ikiwa fahali atampiga mtumwa mwanamume au mwanamke hadi kufa, basi ng'ombe huyo atapigwa kwa mawe tu lakini si kufa.

Tofauti na Kutoka 21:28, fahali atasalimika.

Nadhani tunaweza kuhitimisha kutokana na hayo hapo juu kwamba kulingana na Biblia, hata mnyama ana thamani zaidi ndani yake kuliko mtumwa wa kibinadamu.
 
Hivi kwanini wazanzibari wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli wakijiangalia kwenye kioo wanajiona ni waarabu?

Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu ni ngumu sana muarabu kumuozesha bibtiye kwa mzanzibari,

Jata kama ni chotara mwenye nywele zilizojiviriga na nfozi ya brown wakienda uarabuni huitwa waafrika na kubaguliwa, Kuna baadhi ya wasimamizi wa mashamba ya karafuu waliingilia watumwa wa kiafrika na watoto kuwa machotara lakini ajabu ni kwamba wanakataa kabisa asili ya mama zao, kwanini ? hulazimisha kuwa sehemu ya waarabu wasiowatambua kuwa ni waarabu kwanini ?

Imepelekea hata wanawake wengi sana kutumia vipodozi vingi kujaribu kuipata rangi ya kiarabu, kuna maada pia ipo humu ndani kwamba kuna utamaduni wa kuwalaza watoto vichwa kwenye kibao kigumu ili kichwa kisiwe na kisogo
anza kwanza kumuuliza Mama yako kwani anapenda
 
Back
Top Bottom